Jambo kubwa baya linaloendelea duniani ni kuwa matatizo ya wengine ndo njia za kujipatia utajiri kwa wengine.
Viwanda vikubwa vya madawa vinafaidika kwa kuuza madawa yasiyoponya magonjwa kikamilifu. Matokeo yake ni kuwa magonjwa huzidi kuwa sugu hivyo wao kuendelea kutengeneza dawa na kutajirika. Mifano halisi ni metakelfin za Italy.
-Malaria
-typhoid (homa ya matumbo)
-Cancer
-ARV (Ukimwi)
Utafiti unaonyesha kuwa zile Research Organisation zinazofanya utafiti, kadri matokeo mazuri yanapopatikana, na kutangazwa Hivyo viwanda vya dawa hutoa pesa nyingi ili hao watafiti wasitangaze au kusabotage.
Kwa hiyo wanafaidika kwa kuuza ARVS, n.k
Pia Kuna Tetesi kuwa Limao na aloe Vera zikitumika kila siku basi virusi wanapungua katika mwili wa binadamu na pia anaweza kupona kabisa. Pia Watafiti wa Australia wanatengeneza Jelly kwa ajili ya wanawake kujipaka ukeni ambapo ni kinga ya ukimwi. Hiyo jelly inatengenezwa kwa malimao.
Naomba wana Jf mfuatilie hizo website na mtoe maoni yenu hapa.
Kuna haja ya watanzania kufanya utafiti wa kitibabu na kuja na madawa ya kitanzania bila kuingiliwa na WHO au pharmacies.
Viwanda vikubwa vya madawa vinafaidika kwa kuuza madawa yasiyoponya magonjwa kikamilifu. Matokeo yake ni kuwa magonjwa huzidi kuwa sugu hivyo wao kuendelea kutengeneza dawa na kutajirika. Mifano halisi ni metakelfin za Italy.
-Malaria
-typhoid (homa ya matumbo)
-Cancer
-ARV (Ukimwi)
Utafiti unaonyesha kuwa zile Research Organisation zinazofanya utafiti, kadri matokeo mazuri yanapopatikana, na kutangazwa Hivyo viwanda vya dawa hutoa pesa nyingi ili hao watafiti wasitangaze au kusabotage.
Kwa hiyo wanafaidika kwa kuuza ARVS, n.k
Pia Kuna Tetesi kuwa Limao na aloe Vera zikitumika kila siku basi virusi wanapungua katika mwili wa binadamu na pia anaweza kupona kabisa. Pia Watafiti wa Australia wanatengeneza Jelly kwa ajili ya wanawake kujipaka ukeni ambapo ni kinga ya ukimwi. Hiyo jelly inatengenezwa kwa malimao.
Naomba wana Jf mfuatilie hizo website na mtoe maoni yenu hapa.
Kuna haja ya watanzania kufanya utafiti wa kitibabu na kuja na madawa ya kitanzania bila kuingiliwa na WHO au pharmacies.