Ehud JF-Expert Member Feb 12, 2008 2,685 337 Aug 18, 2012 #1 Dah sijui huyu Daktari anataka nini humo ndani?
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Aug 18, 2012 #3 aangalie asiguse ubongo wa watu.
M markj JF-Expert Member Jul 6, 2012 1,778 685 Aug 18, 2012 #8 inabidi dr apewe posho ya mazingira hatarishi hapo
pmwasyoke JF-Expert Member May 27, 2010 4,593 2,978 Aug 18, 2012 #9 Hii ni teknolojia ya kisasa ya kushughulikia mauvimbe/ mataizo katika kichwa - badala ya kupasua kichwa.
Hii ni teknolojia ya kisasa ya kushughulikia mauvimbe/ mataizo katika kichwa - badala ya kupasua kichwa.
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,145 13,216 Aug 20, 2012 #11 Dodoma one said: Yaitwa live OTOSCOPY Click to expand... Kwa ginsi alivyoinama na wewe unaweza kufanya utafiti juu ya utafiti
Dodoma one said: Yaitwa live OTOSCOPY Click to expand... Kwa ginsi alivyoinama na wewe unaweza kufanya utafiti juu ya utafiti