zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
wanayasansi toka marekani na Argentina wamefanya utafiti na umeonyesha kuwa Mtandao wa internet kwenye komputa za mkononi"Wirele7 internet" kwenye laptop,Una madhara kwa viungo vya uzazi.
Timu ya wanasayansi kutoka Taasisi ya Nascentis Center For Reproductive medicine iliyopo Cordoba,,Argentina kwa kushirikiana na wanasayansi wa Marekan wa Taasisi ya Eastern Virginia Medical school.
Watakao athirika zaidi ni Wale wenye tabia za kuweka laptop kwenye Mapaja.
Mbegu za Mwanaume huaribika kwa Electromagnet zinazotolewa na Wireles internet.
Source. Kimataifa-uhuru
Timu ya wanasayansi kutoka Taasisi ya Nascentis Center For Reproductive medicine iliyopo Cordoba,,Argentina kwa kushirikiana na wanasayansi wa Marekan wa Taasisi ya Eastern Virginia Medical school.
Watakao athirika zaidi ni Wale wenye tabia za kuweka laptop kwenye Mapaja.
Mbegu za Mwanaume huaribika kwa Electromagnet zinazotolewa na Wireles internet.
Source. Kimataifa-uhuru