Utafanyeje pale unapogundua mchumba ako aliwahi kutoa mimba?

kumbe alitoa kabla ya kuwa na wewe, sio issue anzieni hapo mlipokutana halafu mzee wa unhaaaaa miezi miwili tu ushatangaza nia na kuchukua jiko?
 
Du!
Wewe una uhakika kuwa hukuwahi kumtoa mtu mimba?
Hizi hukumu za wanaume zinakuwa na mfumo dume!
Kama hakupi mzigo ina maana hata kama alifanya kosa wakati huo basi alishajirekebisha, anataka upate kitu QUALITY siku ya siku!

kweli pj, kama washaamua kufunga ndoa hayo yaliyopita yamepitaaa inabaki historia!
 
Kuhusu kutoa Mimba unaweza kumsamehe,no one is perfect atakuwa aliteleza,BUT usikubali kuoa bila
kula mzigo,utakuja kujilaumu maisha yako yote mkuu!!Never ever do that...utauziwa mbuzi kwenye gunia


mtazamo na ushauri wa hatari!
 
mtazamo na ushauri wa hatari!

Unaweza kuona hivyo but yaliyomkuta my bestfriend sitapenda kusikia yamemkuta mwingine
Marriage is not something easy kama kumsukuma mlevi, you have to watch u're steps carefully
La sivyo utakuja kujikuta umetumbukia kwenye shimo lenye kiza kinene, and no one to help
Let me end up here...next time meddie
 
Kwa njinsi nilivyo muelewa mtoa mada kuwa alikuwa na matarajio makubwa sana yakuwa huyo mchumba wake hapendelei sana mambo ya kuduuu kwa sababu hata yeye muoaji kanyimwa sasa kinachomuumiza akili baada ya kugundua kuwa alishawahi kutoa kwa mwingine na mimba juu, Kwa upeo wangu kosa lilifanywa na huyo mchumba wake kwa kutokumueleza kwanini hapewi mpaka ndoa ingawa huko nyuma alishawahi kutoa

hampi cs anaogopa kurudia makosa,utajuaje uyo wa kwanza alivompa tu akamsaliti na ndio ikapelekea mdada kutoa mimba,sasa anaogopa isijirudie tena...cha msingi waendelee yaliyopita wasahau
 
hafai kabisa huyo. hesabu hasara mapema maana hasara ya baadae inaweza kuwa kuvwa zaidi...unaweza muta kizazi hakipo teba au ndiio K nayo iling'olewa hahha
 
Duh, kaazi kweli kweli... kujiuliza maswali yote hayo nitaja kufa kwa presha, chezea huyu kiumbe mwanamke weye...
Mie huwa siangalii nyuma hata kidogo, pale pale nilipoanzia ndio pananihusu, mambo yake ya ujanani yatanifaa nini mie,,,

Mama Ngina hebu songa ugali tule sie...

kumchunguza kuku mara alikula nyoka, panyaa mara sijui nini cha mtoto aaaaggggrrr ya nyuma hayana nafasi kwa kweli
 
hampi cs anaogopa kurudia makosa,utajuaje uyo wa kwanza alivompa tu akamsaliti na ndio ikapelekea mdada kutoa mimba,sasa anaogopa isijirudie tena...cha msingi waendelee yaliyopita wasahau
Naungana na wewe ndio maana nikasema kuwa alitakiwa kumueleza mapema mf angemweleza sababu hiyo unadhani jamaa angekuwa na wasiwasi hivyo, wataalam wa mapenzi wansema kunavitu ni muhimu kuelezana mapema kabla kufika mbali kwenye mahusiano mf kama kuwa na mtoto, au ulishawahi kuoa/ kuolewa nk ili baadae isije ikawa kikwazo kwenye mahusiano
 
  1. ukimchambua kuku hautamla mkuu
  2. yaliyopita si ndwele tugange yajayo
  3. that's water under the bridge
kutoa mimba sio kazi ndogo (its emotional kila ukiwazia kitendo), so kutokukwambia kusikutie shaka. mpe muda na atakueleza akiwa tayari
 
Duh, kaazi kweli kweli... kujiuliza maswali yote hayo nitaja kufa kwa presha, chezea huyu kiumbe mwanamke weye...
Mie huwa siangalii nyuma hata kidogo, pale pale nilipoanzia ndio pananihusu, mambo yake ya ujanani yatanifaa nini mie,,,

Mama Ngina hebu songa ugali tule sie...


Mzee mwenzangu kuna ka umuhimu ka kujua historia, inawezekana kwenye kutoa mimba hata kizazi kiliondolewa! Baadaye unajikunja kutafuta mtoto unakuta miaka inaenda hakuna matunda, unadanganywa kila siku. Siku unakuja kugundua umeshachelewa!
 
Kama alitoa kwa blue oa, ila kwa hospital mjaze kwanza uone kama kilibaki kizazi
 
The Boss naunga mkono hoja .....
Imagine kama una mpango wa kupata mtoto na mwenzio kwenye utoaji mimba wake kizazi kilinyofolewa, hali inakuwaje?

mkuu kuna mengi mno hapo
kizazi salama?
hakuna ugonjwa mwingine?
what if alitoa baada ya dokta kusema aitoe kuna magonjwa ya kurithi?kifafa?
what if?
what if?....
au bado wanawasiliana na aliempa mimba?
 
mkuu kuna mengi mno hapo
kizazi salama?
hakuna ugonjwa mwingine?
what if alitoa baada ya dokta kusema aitoe kuna magonjwa ya kurithi?kifafa?
what if?
what if?....
au bado wanawasiliana na aliempa mimba?

Ni kweli The Boss, ndoa siyo sehemu ya kwenda kufanya majaribio. Ni vyema kuclear doubt yeyote inayojitokeza kwenye mahusiano kabla ya kufunga hayo mapingu ya maisha kuliko kuacha ndoa ifungwe halafu baadaye wanaanza kuitisha vikao vya suluhu au kuvunja ndoa. Huku ni kupotezea muda na kutumia vibaya michango yetu. :sad:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom