Mcheza Karate
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 690
- 350
Wadau,
Habari za mchana huu, naomba tubadilishane mawazo kwa hili.
Una mchumba ambaye bado kama miezi 2 kufunga pingu za maisha.
Kila kitu kipo tayari lakini unafika kugundua kuwa mchumba ako aliwahi kushika mimba na akatoa lakini kabla hajawa na mahusiano na wewe.
Na wakati mnaanza uhusiano alikuficha kuhusu hilo na anakataa kabisa kukutana kimwili na wewe hadi pale mtakapofunga ndoa.
Hivi kama ni wewe utafanyaje? Binti anakubania kutoa mzigo kwa gia ya kuwa yeye msafi lakini unagundua kuwa sivyo kwani hadi aliwahi kuchoropoa KIUMBE na maandalizi ya ndoa yako tayari.
Nawasilisha
MK.
Habari za mchana huu, naomba tubadilishane mawazo kwa hili.
Una mchumba ambaye bado kama miezi 2 kufunga pingu za maisha.
Kila kitu kipo tayari lakini unafika kugundua kuwa mchumba ako aliwahi kushika mimba na akatoa lakini kabla hajawa na mahusiano na wewe.
Na wakati mnaanza uhusiano alikuficha kuhusu hilo na anakataa kabisa kukutana kimwili na wewe hadi pale mtakapofunga ndoa.
Hivi kama ni wewe utafanyaje? Binti anakubania kutoa mzigo kwa gia ya kuwa yeye msafi lakini unagundua kuwa sivyo kwani hadi aliwahi kuchoropoa KIUMBE na maandalizi ya ndoa yako tayari.
Nawasilisha
MK.