Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,025
Wewe ndo msanii,uko busy stage una perform,unaimba kwa hisia mpaka unafumba macho,lakini baadaye unagundua kuwa mashabiki wako busy na mambo yao tofauti na wengine wanachapa usingizi.Yes,watu wametoa viingilio vyao na ndo hao wamelala wakati we unajitahidi kuwaburudisha,utachukua uamuzi gani?