Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
mkuu hili laweza mkuta mtu yeyote siyo lazima mimi
Alaa Kumbe ni stori za kufikirika? mi nilijua ni " inspired by true story"
mkuu hili laweza mkuta mtu yeyote siyo lazima mimi
Kama ninao uthibitisho ya kuwa ni mchawi na yeye mwenyewe kakiri, hapa hakuna kupenda tena namtema na akinitishia namfungulia kesi
The WitchCraft Act Chapter 18 ya mwaka 2002 Ibara ya 5(1) na 5(2) inataja adhabu zao vizuri kabisa
ndoa ya kikristo, ndoa ya kikristo. Toa maandiko yanayofanya ndoa ya kikristo isivunjike. Huwezi ukageuza dunia kuwa jehanamu ya mateso kwa mwenzio kwa sababu tu eti umefunga ndoa ya kikristo, Yesu mwenyewe aliyafukuza na kuyakemea mapepo, sasa wewe unashauri mtu aendelee kuyakumbatia na kumlisha mchawi simply because ni ndoa ya kikristo? Ni Kristo gani huyo unayemzungumzia hapa?
kuona matunguli vibuyu ungaunga nk nakusikia kwa watu then ukamwambia akasema yes unadaut nini tena
Labda sijaelewa vizuri, ulimuuliza tu akakubali kweli hivi hivi?
ndoa ya kikristo, ndoa ya kikristo. Toa maandiko yanayofanya ndoa ya kikristo isivunjike. Huwezi ukageuza dunia kuwa jehanamu ya mateso kwa mwenzio kwa sababu tu eti umefunga ndoa ya kikristo, Yesu mwenyewe aliyafukuza na kuyakemea mapepo, sasa wewe unashauri mtu aendelee kuyakumbatia na kumlisha mchawi simply because ni ndoa ya kikristo? Ni Kristo gani huyo unayemzungumzia hapa?
Soma Mathayo 19:3-12. Hayo ni moja ya majaribu wala hapaswi kuyakimbia. Hivyo ni vita vya kiroho havipiganwi kwa mwili. Wewe u'mtakatifu' kiasi gani hata ujitenge na mchawi iwapo Yesu mwenyewe alikaa na wachafu zaidi ya huyo? Msaidie ili naye amjue Yesu kama wewe ni mkristo!
Kama ndoa ilifungwa kwa misingi ya dini ya kikristo huwezi kumuacha, huo mzigo ni wako na kwa ushauri tu unapaswa umuombee Mungu ampe macho ya rohoni ili aweze kujionea uchafu wake. Bila shaka ataumia akigundua kuwa uchawi hauna thamani aliyoina na hivyo ataacha. Huna haja ya kumpiga, kumuacha wala kumburuza kwenda kokote! Maombi yatafanya kazi popote atakapokuwa.
Kama ndoa ilifungwa kwa misingi ya dini ya kikristo huwezi kumuacha, huo mzigo ni wako na kwa ushauri tu unapaswa umuombee Mungu ampe macho ya rohoni ili aweze kujionea uchafu wake. Bila shaka ataumia akigundua kuwa uchawi hauna thamani aliyoina na hivyo ataacha. Huna haja ya kumpiga, kumuacha wala kumburuza kwenda kokote! Maombi yatafanya kazi popote atakapokuwa.
na kama anajikinga je... asidhuriwe na wabaya ake?wanajf ikitokea mmeoana then ukagundua mwenzio ni mshirikina/mchawi utafanyaje? na anao siku nyingi ila hukujua baada ya kupata habari ukamuuliza akakuambia ni kweli yeye ni mchawi na hawezi kuacha na wewe unampenda ila hupendi uchawi!
Kama ninao uthibitisho ya kuwa ni mchawi na yeye mwenyewe kakiri, hapa hakuna kupenda tena namtema na akinitishia namfungulia kesi
The WitchCraft Act Chapter 18 ya mwaka 2002 Ibara ya 5(1) na 5(2) inataja adhabu zao vizuri kabisa
upate kibali kutoka kwa Mungu na macho yaroni yafunguliwe ndipo utaweza kuling'amua hilikama ni mwenzi wako utajua tu usiku humuoni anarudi majogoo na mavazi ya kazi
Wewe umemjuaje kama nawewe si walewale