(UTAFANYAJE?) Ukigundua mwenza wako ni mshirikina

jino kwa jino

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
783
169
wanajf ikitokea mmeoana then ukagundua mwenzio ni mshirikina/mchawi utafanyaje? na anao siku nyingi ila hukujua baada ya kupata habari ukamuuliza akakuambia ni kweli yeye ni mchawi na hawezi kuacha na wewe unampenda ila hupendi uchawi!
 
wanajf ikitokea mmeoana then ukagundua mwenzio ni mshirikina/mchawi utafanyaje? na anao siku nyingi ila hukujua baada ya kupata habari ukamuuliza akakuambia ni kweli yeye ni mchawi na hawezi kuacha na wewe unampenda ila hupendi uchawi!


Kama ninao uthibitisho ya kuwa ni mchawi na yeye mwenyewe kakiri, hapa hakuna kupenda tena namtema na akinitishia namfungulia kesi

The WitchCraft Act Chapter 18 ya mwaka 2002 Ibara ya 5(1) na 5(2) inataja adhabu zao vizuri kabisa
 
Kama ndoa ilifungwa kwa misingi ya dini ya kikristo huwezi kumuacha, huo mzigo ni wako na kwa ushauri tu unapaswa umuombee Mungu ampe macho ya rohoni ili aweze kujionea uchafu wake. Bila shaka ataumia akigundua kuwa uchawi hauna thamani aliyoina na hivyo ataacha. Huna haja ya kumpiga, kumuacha wala kumburuza kwenda kokote! Maombi yatafanya kazi popote atakapokuwa.
 
wanajf ikitokea mmeoana then ukagundua mwenzio ni mshirikina/mchawi utafanyaje? na anao siku nyingi ila hukujua baada ya kupata habari ukamuuliza akakuambia ni kweli yeye ni mchawi na hawezi kuacha na wewe unampenda ila hupendi uchawi!

Inaelekea unajua kitu kikubwa, tunaomba utupe stori yote ili tukupe ushauri utakaokufaa. ilikuwaje mkuu?
 
DUh!hapo inabidi ujiunge naye ktk uchawi,else inabidi ujipange kuhama mji,kwani kuna swala la watoto na urithi wa huo uchawi,uchawi huwa unapasiwa from mother to daughter,na inasemakana wanawake ndio sehemu kubwa ya wachawi ,and thats why mchawi kwa kiingereza ni Witch ikimaaanisha mwanamke mchawi.
:eyeroll1: all in all pole san
 
Kama ndoa ilifungwa kwa misingi ya dini ya kikristo huwezi kumuacha, huo mzigo ni wako na kwa ushauri tu unapaswa umuombee Mungu ampe macho ya rohoni ili aweze kujionea uchafu wake. Bila shaka ataumia akigundua kuwa uchawi hauna thamani aliyoina na hivyo ataacha. Huna haja ya kumpiga, kumuacha wala kumburuza kwenda kokote! Maombi yatafanya kazi popote atakapokuwa.

ndoa ya kikristo, ndoa ya kikristo. Toa maandiko yanayofanya ndoa ya kikristo isivunjike. Huwezi ukageuza dunia kuwa jehanamu ya mateso kwa mwenzio kwa sababu tu eti umefunga ndoa ya kikristo, Yesu mwenyewe aliyafukuza na kuyakemea mapepo, sasa wewe unashauri mtu aendelee kuyakumbatia na kumlisha mchawi simply because ni ndoa ya kikristo? Ni Kristo gani huyo unayemzungumzia hapa?
 
ndoa ya kikristo, ndoa ya kikristo. Toa maandiko yanayofanya ndoa ya kikristo isivunjike. Huwezi ukageuza dunia kuwa jehanamu ya mateso kwa mwenzio kwa sababu tu eti umefunga ndoa ya kikristo, Yesu mwenyewe aliyafukuza na kuyakemea mapepo, sasa wewe unashauri mtu aendelee kuyakumbatia na kumlisha mchawi simply because ni ndoa ya kikristo? Ni Kristo gani huyo unayemzungumzia hapa?


bibilia inasema alichokifunga Mungu binadamu hawezi kukitenganisha (ndoa),.................... hadi kifo kiwatenganishe!
 
DUh!hapo inabidi ujiunge naye ktk uchawi,else inabidi ujipange kuhama mji,kwani kuna swala la watoto na urithi wa huo uchawi,uchawi huwa unapasiwa from mother to daughter,na inasemakana wanawake ndio sehemu kubwa ya wachawi ,and thats why mchawi kwa kiingereza ni Witch ikimaaanisha mwanamke mchawi.
:eyeroll1: all in all pole san

Halafu wewe hujatutendea haki hapoooo nilipo highlight
 
Back
Top Bottom