Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,708
Naamua kukupa penzi langu,nimeamua kukupa mamlaka ya funguo adimu za penzi nililolitunza bila kuguswa kwa mika zaidi ya 32. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .Nimeamua kukukabidhi WEWE,je utafanya nini?Unajua nilivyopitia changamoto za kutosha kabisa kulea na kulitunza,hebu niambie wewe mwanamke utalitunzaje?Ni sawa na umekabidhiwa mfuko wa dhahabu uliotunzwa kwa miaka mingi,niambie utakachofanya!!