B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
ulikuwa wewee mkeo na mamaa mkwe mnasafiri kwenda mkoani,kwa bahati mbaya mkapata ajalii mbayaa sana baada ya basi kupinduka,wasamaria wakawapeleka hospital,mkeo na mama mkwe walikuwa wameumia sana,ikabidi wa fanyiwe operation ya kuwaunga,na kwa bahati mbaya ma doctor wakachanganya.sehemu ya kiuno kupanda juu[kiwili wili}cha mkeo akaungiwa mama mkwe na kiwili wilii cha mama mkwe aka ungiwa mkeo.kwa bahati wa kaponaa.ila madaktari wakagundua na kukupa tarifa ya kuchanganyaa operation.JE KAMAA WEWEE UTAFANYA JE AU UTAMCHANGUA YUPI?