kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
kwa upepo unavyosoma Jk Hataweka mkono wake kwenye waraka wa kuwaongezea wabunge posho.hii ni kutokana na tishio la waalimu kugoma japo wamedanganya kuwa wameanza kulipa madeni yao,lingine ni wananchini kupiga kelele kupitia vyombo vya habari.fanya hivyo JK