Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,130
Mtoa mada asishambuliwe sana!!!
Anawakilisha kundi kubwa!! Hasa wabunge na mawaziri wengi na pia wasomi wa madaraja ya juu!!
Kutwa kucha wanatumia muda mwingi kwenye Ushirikiana ... ndio maaana mtoa mada alifikiri anafanya jambo la kawaida tu!!!!
Lakini hii mentality ya kiusirikina itaingamiza taifa hasa wakati huu wa uchaguzi... haina budi Kukemewa kwa nguvu zote...!!!
Hapa mtoa mada ana force data zienadane na perception za Mtabiri na kumhalalisha....
What a shame!!!!!!
Anawakilisha kundi kubwa!! Hasa wabunge na mawaziri wengi na pia wasomi wa madaraja ya juu!!
Kutwa kucha wanatumia muda mwingi kwenye Ushirikiana ... ndio maaana mtoa mada alifikiri anafanya jambo la kawaida tu!!!!
Lakini hii mentality ya kiusirikina itaingamiza taifa hasa wakati huu wa uchaguzi... haina budi Kukemewa kwa nguvu zote...!!!
Hapa mtoa mada ana force data zienadane na perception za Mtabiri na kumhalalisha....
What a shame!!!!!!