Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
...Asilimia 75.4 ya wahojiwa wote walisema wangempigia kura mgombea urais wa CCM ili awe Rais.
...Kuhusu uchaguzi wa wabunge, CCM bado iliongoza kwa wingi wa idadi ya wahojiwa. Asilimia 69.6 ya wahojiwa walisema kwamba wangemchagua mgombea wa CCM ili awe mbunge wa jimbo lao.
...ni muhimu kutambua kwamba maoni ya wananchi kuhusu chaguo lao la vyama na wagombea yanaweza kubadilika kutokana na kampeni za uchaguzi zinazoendelea, pamoja na elimu ya uraia inayotolewa na vyombo mbalimbali. Pia, inategemewa kwamba matokeo haya yatatoa changamoto kwa vyama vya siasa na wagombea kujaribu kuboresha mikakati yao ya kampeni ili kuweza kushinda katika uchaguzi mkuu ujao. -REDET, September, 2005
KURA YA MAONI NAMBA 10:SEPTEMBA 2005
MAONI YA WANANCHI KUHUSU UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 2005
[FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman]CCM [/FONT][/FONT][FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman]75.4% [/FONT][/FONT]
[FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman](979) [/FONT][/FONT]
source; http://www.redet.udsm.ac.tz/documents_storage/2008-3-28-13-23-32_opinion poll sept2005 swahili.pdf
NA MATOKEO KAMILI YA URAISI 2005 YALIKUWA HIVI;
Jakaya Kikwete
Chama Cha Mapinduzi
9,102,951
80.28%
...Swali la kujiuliza ni je? Vyama vya Upinzani vimejiwekea mikakati gani kwa chaguzi za 2010-2015 kama kweli wanataka kuleta mabadiliko ya utawala wa Tanzania kuanzia kwa wabunge na wawakilishi,...maana kwenye uraisi hakuna matumaini kwa sasa!
Ushindi wa asilimia zaidi ya 51 tu ya wabunge wakitoka CCM tayari bunge litakuwa limeelemewa na Chama Tawala...