Utabiri wa hali ya umeme kwa siku ya leo

Sniper

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
1,915
709
Pepo za umeme zitavuma taratibu kutoka upande wa kusini mwa Dar es Salaam kuelekea upande wa Kaskazini. Hivyo kutakuwa na umeme mchache maeneo yote ya Jiji na ngurumo nyingi za Jenereta pande za Kariakoo, Mwenge, Posta na maeneo yote ya katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Na kwa wakati wa usiku watu wa Mbagala, Kigamboni, Kimara, Mtoni na maeneo yote ya jirani wilaya ya Temeke na Kinondoni kutakuwa na Kiza kisichojulikana mwisho wake.
Maeneo ya Sinza, Mbezi na Tegeta kutakuwa na miunguromo ya jenereta hapa na pale nyakati za usiku. Hii ni kutokana na familia chache zinazotumia jenereta nyakati za usiku
Utabiri huu umeletwa kwenu na Mamlaka ya Utabiri wa Nguvu za umeme waTanesco, Ubungo ghorofa ya Pili.
Nawatakia siku njema. Ahsanteni.
 
Pepo za umeme zitavuma taratibu kutoka upande wa kusini mwa Dar es Salaam kuelekea upande wa Kaskazini. Hivyo kutakuwa na umeme mchache maeneo yote ya Jiji na ngurumo nyingi za Jenereta pande za Kariakoo, Mwenge, Posta na maeneo yote ya katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Na kwa wakati wa usiku watu wa Mbagala, Kigamboni, Kimara, Mtoni na maeneo yote ya jirani wilaya ya Temeke na Kinondoni kutakuwa na Kiza kisichojulikana mwisho wake.
Maeneo ya Sinza, Mbezi na Tegeta kutakuwa na miunguromo ya jenereta hapa na pale nyakati za usiku. Hii ni kutokana na familia chache zinazotumia jenereta nyakati za usiku
Utabiri huu umeletwa kwenu na Mamlaka ya Utabiri wa Nguvu za umeme waTanesco, Ubungo ghorofa ya Pili.
Nawatakia siku njema. Ahsanteni.

Seriously, mlivyotuonea weekend imetosha bwana!
mi sijafua nguo wiki mbili sasa!!!
Please...rudisheni leo walau nifue usiku bwana...
 
Pepo za umeme zitavuma taratibu kutoka upande wa kusini mwa Dar es Salaam kuelekea upande wa Kaskazini. Hivyo kutakuwa na umeme mchache maeneo yote ya Jiji na ngurumo nyingi za Jenereta pande za Kariakoo, Mwenge, Posta na maeneo yote ya katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Na kwa wakati wa usiku watu wa Mbagala, Kigamboni, Kimara, Mtoni na maeneo yote ya jirani wilaya ya Temeke na Kinondoni kutakuwa na Kiza kisichojulikana mwisho wake.
Maeneo ya Sinza, Mbezi na Tegeta kutakuwa na miunguromo ya jenereta hapa na pale nyakati za usiku. Hii ni kutokana na familia chache zinazotumia jenereta nyakati za usiku
Utabiri huu umeletwa kwenu na Mamlaka ya Utabiri wa Nguvu za umeme waTanesco, Ubungo ghorofa ya Pili.
Nawatakia siku njema. Ahsanteni.

Much appreciated Mkuu!!
 
Asante mkuu. ila huu si utabiri huu ni ukweli maana utabiri ni mambo ya uncertainity lakini we unayoyasema ni ukweli kabisa
 
Na sehemu za ZANZIBAR KUTAKUWA na UMEME kwa muda wote. Haaah haa haah.
 
Ha ha ha

Upepo wa umeme utavuma vyema kwenye visiwa vya karafuu, na Hali tilivu ya umeme itapatikana katika visiwa vya Unguja na Pemba kwa muda wote.
 
Wananchi tupo jizani lini tutatoka?
 

Attachments

  • _52869240_imogenthomas,pa.jpg
    _52869240_imogenthomas,pa.jpg
    10.3 KB · Views: 28
Na maeneo ambayo kutakuwa na umeme kutaendelea kuwa na kiwingu cha uwezekano wa giza kudondoka wakati wowote, hivyo ukitoka nje beba tochi.
 
Seriously, mlivyotuonea weekend imetosha bwana!
mi sijafua nguo wiki mbili sasa!!!
Please...rudisheni leo walau nifue usiku bwana...

hata ukirudishwa unaweza usifike kwa wakati unaokusudiwa, hivi unatarajia umeme upite foleni ya buguruni, tazara, taifa halafu ukutane na foleni ile ya zakiem mda wa kukatwa si utakuwa umewadia tena? hameni uko mbagala nyie, na safari hii mabomu yanarudi tena huko.
 
Back
Top Bottom