Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hamkukiuwa miaka hiyo haitatokea kwa hiyo unataka tubaki na Marehemu CCM tuu kama ni hivyo kitakachofuata ni nchi kuingia vitani bora demokrasia ifuata mkondo wake ili hao vijana wasiingie msituni wawe na pakusemea ,hivi unajua hao vijana fuata upepo ndio watakaochukua mitaa,kata na halmshauri wee endelea kuzarau nguvu yao
Declaration of Conflict of Interest: Mimi sio mwanachama wa CCM na nilimpigia kura Peter kuga Mzirai 2010
Ninawaomba sana viongozi wa CCM na wa kiserikali mfanyie kazi hili wazo langu, kuna kila dalili ya kutokuaminiana imezuka CDM na huu ni wakati wa kukipeleka kaburini chama hiki, nawaomba sana mchakachue jimbo moja la CDM ili uchaguzi mdogo uitishwe, kwa kufanya hivi mtakuwa mmekiathiri sana chama hiki ambacho wapenzi wake wengi ni vijana ambao wengi wao kama bendera hufuata upepo.
Ninawahakikishia kama mtafanya hivyo na kufanikiwa kuitisha uchaguzi mdogo katika jimbo linalomilikiwa na CDM na CCM kushinda utakuwa ndio mwisho wa hiki chama.
Ni hayo tu.
Nasikitika sana vijana wa CDM kujibu kwa hasira post ambayo haiwahusu, huu ni ushauri kwa CCM. vijana hao hawajui hata sera maana yake nini, CCM ingawa sio chama changu inajivunia watu wazima na wakina mama ambao ni nguzo imara na makini, hawarukupuki kufanya maamuzi wanachambua na kufanya tathmini kabla ya kufanya maamuzi sio hao watoto ambao hata miaka 18 ya kupiga kura wengine hawajafika.
Hahaha! Mkuu umeua!Kama ingekuwa tunazungumzia mambo mengine majina ya malaya na kahaba yasingekufaa sababu wewe ni chipukizi la kipee kabisa. we sio mwanaCCM hizo sifa zote unaimwagia ya nini. Mume wa Mwezio usimtingishie nyonga
Mkuu alishawahi pia kusema Rais ajae(yaani JK) ataongoza kwa kipindi kumoja (yaani miaka mitano). ajabu kumbe ndo yeye alikuwa kabakiza miaka mitano kufa.Ebwanaee!!! unanikumbusha enzi za Shehe yahya kwamba atakaye mpinga kikwete atakufa mpaka leo naendelea kusikilizia nani atakufa
[h=3]http://www.google.com/url?sa=t&rct=...sg=AFQjCNEQpzVg9FdwQIKlJ_aE_zFQIt_UAg&cad=rjaDeclaration of Conflict of Interest: Mimi sio mwanachama wa CCM na nilimpigia kura Peter kuga Mzirai 2010[/h]
Ninawaomba sana viongozi wa CCM na wa kiserikali mfanyie kazi hili wazo langu, kuna kila dalili ya kutokuaminiana imezuka CDM na huu ni wakati wa kukipeleka kaburini chama hiki, nawaomba sana mchakachue jimbo moja la CDM ili uchaguzi mdogo uitishwe, kwa kufanya hivi mtakuwa mmekiathiri sana chama hiki ambacho wapenzi wake wengi ni vijana ambao wengi wao kama bendera hufuata upepo.
Ninawahakikishia kama mtafanya hivyo na kufanikiwa kuitisha uchaguzi mdogo katika jimbo linalomilikiwa na CDM na CCM kushinda utakuwa ndio mwisho wa hiki chama. Ni hayo tu.
kuna watu mna akili matope ww ni mmoja wapo
aisee ni ngumu sana kuikomboa tanzania kuna vilaza waajabu sana hapo utakuta ana kadegree kabatini akili kama sisimizi
Declaration of Conflict of Interest: Mimi sio mwanachama wa CCM na nilimpigia kura Peter kuga Mzirai 2010
Ninawaomba sana viongozi wa CCM na wa kiserikali mfanyie kazi hili wazo langu, kuna kila dalili ya kutokuaminiana imezuka CDM na huu ni wakati wa kukipeleka kaburini chama hiki, nawaomba sana mchakachue jimbo moja la CDM ili uchaguzi mdogo uitishwe, kwa kufanya hivi mtakuwa mmekiathiri sana chama hiki ambacho wapenzi wake wengi ni vijana ambao wengi wao kama bendera hufuata upepo.
Ninawahakikishia kama mtafanya hivyo na kufanikiwa kuitisha uchaguzi mdogo katika jimbo linalomilikiwa na CDM na CCM kushinda utakuwa ndio mwisho wa hiki chama.
Ni hayo tu.
Declaration of Conflict of Interest: Mimi sio mwanachama wa CCM na nilimpigia kura Peter kuga Mzirai 2010
Ninawaomba sana viongozi wa CCM na wa kiserikali mfanyie kazi hili wazo langu, kuna kila dalili ya kutokuaminiana imezuka CDM na huu ni wakati wa kukipeleka kaburini chama hiki, nawaomba sana mchakachue jimbo moja la CDM ili uchaguzi mdogo uitishwe, kwa kufanya hivi mtakuwa mmekiathiri sana chama hiki ambacho wapenzi wake wengi ni vijana ambao wengi wao kama bendera hufuata upepo.
Ninawahakikishia kama mtafanya hivyo na kufanikiwa kuitisha uchaguzi mdogo katika jimbo linalomilikiwa na CDM na CCM kushinda utakuwa ndio mwisho wa hiki chama.
Ni hayo tu.