Kama ilivyokua mwezi wa kwanza 2005, natabiri haya yafuatayo kama SISIMU itashinda mwaka huu.
1. Vitu vingi vitapanda bei kwa kasi sana kama ilivyokua 2005 baada tu ya Kikwete kushinda, inajumuisha vyakula, vifaa vya ujenzi, makazi, kodi za nyumba, umeme, mafuta, n.k
2. Natabiri maisha magumu zaidi kuliko kipindi cha 2005 hadi 2010. Hii ni kutokana na kua kama JK alijua fika atakuja kugombea tena na hakufanya vizuri, basi kipindi hiki ambacho anajua hatagombea tena basi atashuka kiutendaji zaidi. Chukua hiyo, huitaji kuambiwa ona
3. kama SISIMU itashinda, Natabiri safari nyingi zaidi za nje za Rais kuliko kipindi cha mwaka 2005 hadi 2010
4. Natabiri kutotekelezwa kwa ahadi nyingi zilizoahidiwa kama SISIMU itashinda kama vile Chuo kikuu kule Shinyanga, Chuo Kikuu Songea, Hospital za Rufaa Zanzibar, bajaji nyingi, Umeme huko geita, Uwanja wa ndege wa Kimataifa Bukoba, Kugeuza Kigoma kua Dubai, Mamilioni ya hela Tareakea Rombo, n.k
5. Natabiri budget kubwa zaidi ya Serikali ili hali maisha ya wananchi yakididimia
6. Natabiri migomo mingi ya wafanyakazi itakayotokana na kutoongezwa mishahara kwa muda mrefu.
7. Natabiri baraza kubwa la mawaziri na sura nyingi zile zile zilizoshindwa kazi miaka 5 iliyopita
8. Natabiri Ridhiwani kuwa na nguvu sana kuwazidi viongozi wastaafu na wengine.
9. Baisha bora kwa kila mtazani kugeuka kua Maisha mabaya kwa kila mtanzania
10. Ajira kushuka kwa kasi.
11. Natabiri watu kulipiza visasi vya kampeni
Tuombe Uzima na Mungu atujalie, tupo baadae tusilalamikiane. Kazi kwako uipenda Meza au Uache. Tatizo sio kupiga kura, swala ni kupiga kura kwa usahihi. Kazi kwako
1. Vitu vingi vitapanda bei kwa kasi sana kama ilivyokua 2005 baada tu ya Kikwete kushinda, inajumuisha vyakula, vifaa vya ujenzi, makazi, kodi za nyumba, umeme, mafuta, n.k
2. Natabiri maisha magumu zaidi kuliko kipindi cha 2005 hadi 2010. Hii ni kutokana na kua kama JK alijua fika atakuja kugombea tena na hakufanya vizuri, basi kipindi hiki ambacho anajua hatagombea tena basi atashuka kiutendaji zaidi. Chukua hiyo, huitaji kuambiwa ona
3. kama SISIMU itashinda, Natabiri safari nyingi zaidi za nje za Rais kuliko kipindi cha mwaka 2005 hadi 2010
4. Natabiri kutotekelezwa kwa ahadi nyingi zilizoahidiwa kama SISIMU itashinda kama vile Chuo kikuu kule Shinyanga, Chuo Kikuu Songea, Hospital za Rufaa Zanzibar, bajaji nyingi, Umeme huko geita, Uwanja wa ndege wa Kimataifa Bukoba, Kugeuza Kigoma kua Dubai, Mamilioni ya hela Tareakea Rombo, n.k
5. Natabiri budget kubwa zaidi ya Serikali ili hali maisha ya wananchi yakididimia
6. Natabiri migomo mingi ya wafanyakazi itakayotokana na kutoongezwa mishahara kwa muda mrefu.
7. Natabiri baraza kubwa la mawaziri na sura nyingi zile zile zilizoshindwa kazi miaka 5 iliyopita
8. Natabiri Ridhiwani kuwa na nguvu sana kuwazidi viongozi wastaafu na wengine.
9. Baisha bora kwa kila mtazani kugeuka kua Maisha mabaya kwa kila mtanzania
10. Ajira kushuka kwa kasi.
11. Natabiri watu kulipiza visasi vya kampeni
Tuombe Uzima na Mungu atujalie, tupo baadae tusilalamikiane. Kazi kwako uipenda Meza au Uache. Tatizo sio kupiga kura, swala ni kupiga kura kwa usahihi. Kazi kwako