Najua kuna wanaume wengi ndani ya ndoa wanakua wana wanawasi wasi na watoto wanaowazaa kama ni wao au sio esp kama mtoto hafanani na baba kabisa.
Kudhibitisha kama ni wa kwako lazima DNA itumike hapo.
Mwenye ujanja atutatulie hili jinsi gani ya kumueleza mkeo akuelewe ili mkacheki DNA.
Kudhibitisha kama ni wa kwako lazima DNA itumike hapo.
Mwenye ujanja atutatulie hili jinsi gani ya kumueleza mkeo akuelewe ili mkacheki DNA.