Wizi mbaya sana jamani. lakini hali ya maisha nayo ni ngumu. hao mafisadi wanaoiba mabilioni nao wanapaswa kupata adhabu pengine kubwa kuliko hii. Hali ya maisha Tanzania inasikitisha sana.
imagine mtoto wako ndo anachomwa hivyo...imagine kama tungekuwa tunatenda dhambu palepale Mungu anakamata anatuchoma hivo nani angebaki? kama Mungu angehesabu maovu, nani angesimama?....nimeibiwa sanaa nimeumizwa sana na wezi, lakini kitendo icho siwezi kufanya. kuna kipindi miaka ile ya zamani nilikuwa nimepigikaaa,maisha magumu nikawa na vibiashara vyangu, walikuwa kukwangua kila kitu hadi cable za umeme yaani wakachukua hadi carpet....lakini bado tu kitendo icho hapo kwenye picha sikukubali....mbona kuna Mengi tu Mungu kanisamehe mimi kwanini niue kwasababu ya mtu kanikosea, kama Mungu angeniua mimi nikifanya kosa hata leo hii nisingekuwepo kwasababu nimefanya makosa mengi mno mbele zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.