Uswazi ukiiba simu unachezea maisha yako!

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,171
gywVPUKN3I47.jpg


Jamaa inaelekea analalamika "Yaani nimeiba blakiberi tu ndo mnataka kunichoma ka mshikaki!"
Tuache tabia hii wajameni.
 
Wizi mbaya sana jamani. lakini hali ya maisha nayo ni ngumu. hao mafisadi wanaoiba mabilioni nao wanapaswa kupata adhabu pengine kubwa kuliko hii. Hali ya maisha Tanzania inasikitisha sana.
 
Da jamani, hawa vibaka maisha hatarini kabisa. Social problems emanating from poverty.
 
imagine mtoto wako ndo anachomwa hivyo...imagine kama tungekuwa tunatenda dhambu palepale Mungu anakamata anatuchoma hivo nani angebaki? kama Mungu angehesabu maovu, nani angesimama?....nimeibiwa sanaa nimeumizwa sana na wezi, lakini kitendo icho siwezi kufanya. kuna kipindi miaka ile ya zamani nilikuwa nimepigikaaa,maisha magumu nikawa na vibiashara vyangu, walikuwa kukwangua kila kitu hadi cable za umeme yaani wakachukua hadi carpet....lakini bado tu kitendo icho hapo kwenye picha sikukubali....mbona kuna Mengi tu Mungu kanisamehe mimi kwanini niue kwasababu ya mtu kanikosea, kama Mungu angeniua mimi nikifanya kosa hata leo hii nisingekuwepo kwasababu nimefanya makosa mengi mno mbele zake.
 
Jamani tuwe na ubinadamu kidogo maana sasa hata wanyama wanatushinda.Tupunguze ubinafsi na tumwone kila mtu ana haki sawa mbele ya muumba wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom