BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
hahahahahah uswazi hadi wali dili, wali watakula na sufuria litauzwa...chezea uswazi wewe..... hata ukianika nguo zitabebwa...
Nashukuru maisha yangu yote sijaishi uswazi,lakini ipo siku nimemtembelea msela wangu uswazi tumekaa ndani tunasubiri wali umebanikwa uani , kwenda kuchungulia anarudi anasema jamaa wameiba wali na sufuria lake...............