Uswazi, Kazi Ipo

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
486488_10151054156259233_597843801_n.jpg
 
ss kuna vingine kama hivyo ila mlango wa kubeba.... yaani ukifika ndani unafanya utaratibu wa kuuseti mlango!!!!!!!!
 
Afu dogo anaingia pekupeku, ndo zetu huku kwetu, kwa mtogole,kwa manjunju,mnyamani,kwa binti madenge na Maeneo ya kigogo huku
 
Hii inaonesha uswazi watu hawamaindi sana kwenda misalani kama huko kwenu. Kwanza huku choo utakitoa wapi wakati msosi wenyewe rakaa moja kwa siku, nyinyi mnaokula kama mchwa choo mnakipamba hata chumba cha kulala cha uswazi kimesingiziwa.
 
Hii inaonesha uswazi watu hawamaindi sana kwenda misalani kama huko kwenu. Kwanza huku choo utakitoa wapi wakati msosi wenyewe rakaa moja kwa siku, nyinyi mnaokula kama mchwa choo mnakipamba hata chumba cha kulala cha uswazi kimesingiziwa.

Hahahahahaaa!!!!!
Chooni sio issue kivile!
 
83% mmepitia maisha ya uswazi so chakushangaza ni nini then mkifika town nnajiafanya my dad my mum i was iwas ma aunt she is ni london...kwendeni zenu mnaoponda life ya uswazi.
 
Uswahilini kuna vituko..
Anyway ndo maisha bora kwa kila mtanzania tuliyodanganywa.
Jiulize..hivyo vingine ni vipya je vilivyokuwepo kabla ya hivyo je????
 
Back
Top Bottom