Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Pia uswahilini usipime kwa kupiga deo, baba zima mke na watoto na wajukuu wanakaa nyumba moja, usiku baba anaenda kwa jirani kuchungulia wakifanya matusi
<br />Napita maeneo ya shule ya msingi Tandale Magharibi, foleni ni ndefu na magari hayatembei, barabara imejaa kundi la kina mama wakiongozwa na kundi la matarumbeta eti wanaenda kumsuta mwanamke mmoja amepora bwana wao Magomeni na Kamtuliza maeneo ya Switi Kona.
Napita maeneo ya shule ya msingi Tandale Magharibi, foleni ni ndefu na magari hayatembei, barabara imejaa kundi la kina mama wakiongozwa na kundi la matarumbeta eti wanaenda kumsuta mwanamke mmoja amepora bwana wao Magomeni na Kamtuliza maeneo ya Switi Kona.
jamani kweli uswahilini kuna vituko. Sikumoja nilimtembelea dada huku Buguruni, dada huwa anakuitaga Bugz. Akaninunulia kitimoto. Mara kikaja kitoto cha jirani, kidoezi sana. Dada akamimina pilipili nyingi sana kwenye msosi hadi tukawa tunatokwa na machozi kwa kuwashwa, kale katoto kakawa kanakula harakaharaka, halafu kakaomba kama kuna pilipili imebaki tuongeze kwenye msosi. Yaani nilikoma mwenyewe
Napita maeneo ya shule ya msingi Tandale Magharibi, foleni ni ndefu na magari hayatembei, barabara imejaa kundi la kina mama wakiongozwa na kundi la matarumbeta eti wanaenda kumsuta mwanamke mmoja amepora bwana wao Magomeni na Kamtuliza maeneo ya Switi Kona.
Ulimpa?
<br />uchoyo suna babu weee
Hayo mambo ya kwenda kumsuta mtu uswaz mbona ni mambo ya kawaida sana. Tena kuna watu wapo full matarumbeta na mavuvuzela ndio kazi yao. Unawakodisha kwa elfu 50 na wako tayari kutoka tandika hadi mwananyamala kwenda kupiga kazi. Hiyo ndio life ya uswaz!
jamani kweli uswahilini kuna vituko. Sikumoja nilimtembelea dada huku Buguruni, dada huwa anakuitaga Bugz. Akaninunulia kitimoto. Mara kikaja kitoto cha jirani, kidoezi sana. Dada akamimina pilipili nyingi sana kwenye msosi hadi tukawa tunatokwa na machozi kwa kuwashwa, kale katoto kakawa kanakula harakaharaka, halafu kakaomba kama kuna pilipili imebaki tuongeze kwenye msosi. Yaani nilikoma mwenyewe
<br />jamaa kamuuliza demu "je una una nafasi nikupeleke kwenye pedicure?"<br />
demu akawaza weee, baada ya dakika nzima akajibu pedi ya nini wakati siko kwenye siku zangu?