NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
- Thread starter
- #61
Dont be defensive, Great thinkers ni wanaosoma na wanaoandika, sio wanaoandika tu. Kwani nimefuata nini huku, nasoma ndiyo. Ya kuchekesha nacheka, ya kushangaa nashangaa, ya kujifunza najifunza, halafu napita. Na mimi nipo holiday
Umeanza kurekebisha hali ya hewa sasa