NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
- Thread starter
- #41
mie wa ukonga markaz ndio maana nacheka sana hapa,,nakumbuka jirani yangu mmoja alikwenda kwa boifrendi wake chuo kikuu akiwa na kanga kiunoni...
Huyo alikuwa anapendo la dhati na yuo real. kama ni huko upepo unakovuma angeazima na angepiga hata mzazi mzinga azame mr. price ili tu akajionyeshe. I like them USWAZs