Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
dah!HEHEHEHEHEHE
we acha tu. Juzi ndo niligundua kuwa mama yake ni MNOKO ingawa nilishajivisha mabom mara kibao nilikuwa namkabili BI Mkubwa kumuomba ruhusa ya kusindikizwa na bintiye (nina pete mkononi).
Mkuu hawa vibinti vinajua kweli kuendana na shughuli we acha tu
they are here to stay