Katikomile
JF-Expert Member
- Jul 12, 2007
- 471
- 74
Kuna tetesi kuwa Mh. Mbunge wa Musoma vijijini, Nimrod Mkono alimchangia Obama kwenye kampeni yake USD 1Million, Obama akauliza huyu Mkono ni nani ningependa nimwone? Mkono akakaribishwa Marekani akakutanishwa na Mjaluo na ndo ushikaji ukaanza rasmi.
hadi juzi wakati wa kuapishwa kwake Obama alimpa personal invitation Mkono, na Mh. Mkono alitengewa sehemu yake ya kukaa pamoja na Ma-Senator!
Hii mnaionaje wadau (kama kuna ukweli anyway)?? Mkono anaona mbali kibiashara kwani he may gain more than ten times USD 1mil he contributed to boost up the man in power, the man himself, Baraka Hussein Obama, the brother of Auma Hussein Obama and the Grandson of Sarah Hussein Obama.
hadi juzi wakati wa kuapishwa kwake Obama alimpa personal invitation Mkono, na Mh. Mkono alitengewa sehemu yake ya kukaa pamoja na Ma-Senator!
Hii mnaionaje wadau (kama kuna ukweli anyway)?? Mkono anaona mbali kibiashara kwani he may gain more than ten times USD 1mil he contributed to boost up the man in power, the man himself, Baraka Hussein Obama, the brother of Auma Hussein Obama and the Grandson of Sarah Hussein Obama.