mwisho wao jumapil
kweli mkuu, tuzidi kuhimiza watu wakapige kura
haya ndiyo mnayoyaweza zaidi, ubeya, majungu, uzushi na upashkuna.
Wapili Kushoto ndiye Halfan Kikwete (9) mwenyekiti wa Chipukizi Tanzania
Huyu atakuwa waziri mkuu, msilauumu sikusema Iwapo tu Kikwete ataiba kura
Vua basi hiyo hereni na kikuku mguuni mtoto wa kiume!
Rev, achana naye huyo, toka apewe umod wa hii forum basi watoto wa tandale wamekoma kuringa
Wapili Kushoto ndiye Halfan Kikwete (9) mwenyekiti wa Chipukizi Tanzania
Ha ha ha hah Rev unauaaa, ama kweli mzee wa bumbuli kafulia.
Homeboy wewe kiboko kwa picha za matukio
Huyo dada mwembamba hilo gauni alirushiwa tu nae akavaa haraka<mbona limekaa hovyo hovyo hasa mabegani?
Nashukuru mzee nisije fungiwa hahahaha nilikuwa sijammanya vizuri! Mwafrika hebu weka vizuri hii thread kuna MoD anataka kuifuta.
Ha ha ha, tenda hiyo ya mama salma..... kahusika na mavazi mengi ya sisiemu,
BTW --- huyo dada kafanana na yule mama anayecheza maigizo na mzee small (au macho yangu ndiyo yameyumba?), utadhani ni binti yake.
Yaani hata tenda za kushona nguo zinakwenda kwa Baba Mama na Watoto/BMW? Hii familia imetuchoka kwa kweli
Hii ni familia ya hovyo mno cheki huyo dogo naye
Pikipiki zikiwa zimepamba msafara wa Mjumbe wa Utekelezaji wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Taifa.Ridhiwani Kikwete wakati ukielekea Jimbo la Chwaka,Zanzibar jana kufanya kampeni
Source: Haki Ngowi Blog
kwani mwenzetu unaweza nini?haya ndiyo mnayoyaweza zaidi, ubeya, majungu, uzushi na upashkuna.
Wakichomoa Oct 31 watatuua. Kazi sasa ni kuhamasisha watu kwenda kupiga kura na kuzilinda