Najua wengine mtaanza, ohh mwafrika una obsession na Kikwete's family BUT ukweli ni kuwa, Kikwete na familia yake ndio wana obsession na mwafrika. Kama wangeacha kufilisi na kuaibisha nchi yetu, mimi hata nisingesema chochote kuhusu wao.
Kikwete katumia bilioni 29 kupaka rangi ikulu. Katumia mabilioni kuzunguka dunia (eti kuomba misaada). Na bado amerudi Tanzania, katumia mabilioni (karibu bilioni 70) kwa ajili ya kampeni za uchaguzi. Na kama hiyo haitoshi, first lady (Salma Kikwete) anatumbua milioni 28 (za watanzania) kwa masaa matano tu kukodi hili dege la kifahari kuzunguka Tanzania nzima (eti akimfanyia mumewe kampeni):
Mambo hayaishii hapo tu, Mama Salma anapokelewa na msururu wa magari ya serikali, anapokea report ya utendaji kazi wa serikali etecetera etecetera.
Kisha kuna Ridhiwani, ukitaka kujua kiasi cha pesa kinachotumika kwenye "safari" za huyu mwana wa sultani, kamuulize mtunza hazina wa ccm.
Prince Ridhiwani anaongoza kampeni za Kikwete Tanzania nzima kwa kutumia mabilioni ya shilingi za watanzania. Kijana alifikia hatua hata kuzuia masomo ya watoto wa shule ya msingi ili afanye kampeni zake.
Aliyofanya Miraji Kikwete (kwa kushirikiana na Rashid Shamte, mtoto wa kinana, na January Makamba) yameongelewa sana hapa na sitayagusia for now.
Na sasa kuna yule mtoto mdogo wa kikwete, nasikitia eti ndiye bosi wa chipukizi wooote Tanzania. Sasa, kwa mambo ya kisultani kama haya, kwa nini mwafrika nikose cha kusema kuhusu Kikwete's family?
kati ya mimi na wao, nani ana obsession na wenzake? Trust me, wakiacha mpango wao huu wa kutaka kurithishana vyeo na utajiri wa Tanzania, mimi nitakaa kimyaa. Natumaini kuwa baada ya Dr Slaa kushinda uchaguzi wa uraisi jumapili hii, sitakaa kamwe niandike chochote kuhusu familia ya kisultani ya JK (unless kama kesi ya ubadhirifu wa mali za serikali imefunguliwa dhidi yao).
Inaendelea.....
Kikwete katumia bilioni 29 kupaka rangi ikulu. Katumia mabilioni kuzunguka dunia (eti kuomba misaada). Na bado amerudi Tanzania, katumia mabilioni (karibu bilioni 70) kwa ajili ya kampeni za uchaguzi. Na kama hiyo haitoshi, first lady (Salma Kikwete) anatumbua milioni 28 (za watanzania) kwa masaa matano tu kukodi hili dege la kifahari kuzunguka Tanzania nzima (eti akimfanyia mumewe kampeni):
Mambo hayaishii hapo tu, Mama Salma anapokelewa na msururu wa magari ya serikali, anapokea report ya utendaji kazi wa serikali etecetera etecetera.
Kisha kuna Ridhiwani, ukitaka kujua kiasi cha pesa kinachotumika kwenye "safari" za huyu mwana wa sultani, kamuulize mtunza hazina wa ccm.
Prince Ridhiwani anaongoza kampeni za Kikwete Tanzania nzima kwa kutumia mabilioni ya shilingi za watanzania. Kijana alifikia hatua hata kuzuia masomo ya watoto wa shule ya msingi ili afanye kampeni zake.
Aliyofanya Miraji Kikwete (kwa kushirikiana na Rashid Shamte, mtoto wa kinana, na January Makamba) yameongelewa sana hapa na sitayagusia for now.
Na sasa kuna yule mtoto mdogo wa kikwete, nasikitia eti ndiye bosi wa chipukizi wooote Tanzania. Sasa, kwa mambo ya kisultani kama haya, kwa nini mwafrika nikose cha kusema kuhusu Kikwete's family?
kati ya mimi na wao, nani ana obsession na wenzake? Trust me, wakiacha mpango wao huu wa kutaka kurithishana vyeo na utajiri wa Tanzania, mimi nitakaa kimyaa. Natumaini kuwa baada ya Dr Slaa kushinda uchaguzi wa uraisi jumapili hii, sitakaa kamwe niandike chochote kuhusu familia ya kisultani ya JK (unless kama kesi ya ubadhirifu wa mali za serikali imefunguliwa dhidi yao).
Inaendelea.....