beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 523
za asubuh jaman beibe nasty naendelea vizuri na mafua. Sasa bana kunawatu hawa wananikera hakuna mfano eti mtu anakohoa,anapiga chafya, anapiga miayo halaf hazibi mdomo halaf ukimwambia anakua mbishii. Haya mwingne sasa anatema mate au kohoz halaf hafukii jaman wananichefua na huyu wakat watu wanakula anapumua(toa shuzi) sipendi tabia hiz n huu ni ukosefu wa ustaarabu