Alnadaby
JF-Expert Member
- Sep 28, 2006
- 505
- 41
Mtindio kama una nafsi nenda Nchi yoyote ya Kiislam halafu ufuate mafunzo kama hayo unayo quote,ufanye hicho kitendo halafu uone hukumu yake.Hizo quotes unazichomoa kwenye mitandao ya Anti Islam na ni misconception ya West towards Islam si chochote.
Unaweza ku gate away with it ukiwa USA au Vatican(Refer Catholics rape report)
Waislam hawaruhusu dhambi hiyo na hukumu yake ni ya kutisha,kwa hiyo whatever you pick up from here and there from the enemies of Islam is malicious,misconceptions carefully fabricated to justify their hate campaign.
Unaweza ku gate away with it ukiwa USA au Vatican(Refer Catholics rape report)
Waislam hawaruhusu dhambi hiyo na hukumu yake ni ya kutisha,kwa hiyo whatever you pick up from here and there from the enemies of Islam is malicious,misconceptions carefully fabricated to justify their hate campaign.