Smartboy
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 1,110
- 128
CV ya Slaa hata akiomba kazi hapati, labda kanisani. Kurukia kwenye siasa za ufataan "wajinga ndio waliwao" ndio size yake? wapi zaidi ya huko? ccm walisha mpiga chini, akaona hii sasa kimbembe, wapi wanadanganyika haraka?
Faizafoxy na Jesuit nyie ni watu mnao pinga cdm 24 seven. Naona nyie ni kama washika pembe, mnashika mafisadi wanakamua. Hamna lolote.