Mgoyangi
Senior Member
- Feb 6, 2008
- 184
- 9
Baada ya kusoma uchambuzi wa Kigwangala kwenye -- kutoka wanajamii, napata hoja kuwa Slaa anapaswa kujibu na kujieleza kuhusu usomi wake -- unaodaiwa hapa chini kuwa ni wa kitaa.
Ajibu ama vinginevyo hana tofauti na usomi wa akina Salmini Amour na Mugabe na kama ndiyo kweli hana hoja za kuwacheka wengine. Kwa hakika anapaswa kufafanua!
From: Dr. Hamisi A. Kigwangalla
Sent: Wed, 25 May, 2011 11:36:39
Subject: Re: Ujio wa CHADEMA Iringa: Tafsiri Yangu
LESSIan Mollel, for goodness sake I am an academic, I never talk factlessly!
Ninaposema amesomea mambo ya dini sibahatishi, kama kuna mwenye taarifa sahihi
zaidi ya hizi nitakazozitoa hapa chini basi na azilete hapa. I dont hate the guy
but these are facts and for upright people like me (Tundu Lissu knows my
history) we always stand for the truth.
I never fear the consequences of my actions as long as I believe in something...I used to be a great fun of Slaa when he was MP, but slowly I begun to see how low and insufficient he was for a President!
I lost interest even in listening at him. I am fond of revolutionaries, like Sankara, Lumumba, Gandhi, X, Nyerere, King Jr and even
recently Obama, but he is never even an inch close to being a charismatic leader of our times in this country!
He wouldnt even appeal to common people and convince them to vote for him, analijua hili na ndo maana anataka kuleta vurugu
kwa kauli za kichochezi, anadhani hiyo ndiyo itakuwa shortcut yake ya kwenda ikulu.
Bora hata young people like Lissu, Zitto, Mnyika, Wenje ninawaona wana-appeal na wanaweza hata kuja kutusumbua huko mbele kama wakijipanga vizuri na 'wakipewa' nafasi!
Huyu hapa ndiyo:
Willibrod Peter Slaa (J.C.D., ikimaanisha Juris Canonici Doctor) ambayo aliipata kutoka
The Pontifical Urbaniana University.
Date and Place of Birth: 29.10.1948,Kwermusl,Mbulu,Tanzania.
EDUCATION:
PRIMARY: 1958-1961 Kwermusl
1962-1965 Karatu Middle School.
SECONDARY: 1966-1969 Dunguyi Seminary
1970-1971 Itaga Seminary
PHILOSOPHY:
1972-1973 Kibosho Seminary
THEOLOGY:
1974-1977 Kipalapala Seminary
1974-1976 Makerere University,Diploma,Theology Alisoma Kipalapala, Tabora na
Makerere mwaka huo huo mmoja!
HIGHER EDUCATION:
1979-1981 Pontifical Urbanian University,Rome,JCD(summa cum laude) Doctor gani ya kusoma miaka miwili, na hapo hatujajua ni miezi gani aliingia, inawezekana ni chini ya miaka hii miwili inayoonekana hapa kwenye Bio yake! Hana Digrii ya Kwanza, wala ya Pili, Hiki Chuo kinachukua wanafunzi walio below standards kuingia kusomea masomo ya level ya tatu?
Elimu ya Slaa, hata hiyo hiyo ya Sheria ya Dini ina Mashaka makubwa. Kumbe hata Sheikh au Ustadh yeyote yule anaweza kupewa Honoris Doctor na kuomba Urais na akatuongoza kwa kutumia elimu yake ya kitaa na ile ya sheria za dini (Islamic Jurisprudence).
Kweli watanzania wasitupe Big G yao mdomoni kwa kupewa karanga za kuonjeshwa! Na tutaanza kazi ya kuwaelimisha watanzania kuhusu hii falsafa.
Bora hata huyo JK mwenye BA kutoka chuo kinachoeleweka na Honoris Doctor na Honoris Magister zilizowazi na kutoka vyuo vinavyoeleweka.
Kisha uzoefu na exposure ya JK kiuongozi na kidiplomasia ni kubwa sana kuliko huyu Bwana Slaa wenu mnayemfagilia sana kuwa ni msomi!
1980-1980 ADV.Diploma-Socio-Political Studies,Koln,Germany(KAF) Advance diploma gani ya kusoma Mwaka Mmoja?
1981-1981 St.Thomas Aquinas University,Rome,AD.Diploma Rural Development Advanced Diploma gani hii nayo tena?
1985-1985 London COR.College, Principles and Practice of Management Certificate.
>>>>Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor; J.C.D.) is the doctoral-level terminal degree in the studies of canon law of the Roman Catholic Church.
It may also be abbreviated I.C.D. or dr.iur.can. (Iuris Canonici Doctor), ICDr., D.C.L., D.Cnl., D.D.C., or D.Can.L. (Doctor of Canon Law). Doctor of both laws (i.e. canon and civil) are J.U.D. (Juris Utriusque Doctor), or U.J.D. (Utriusque Juris Doctor).
A doctorate in canon law normally requires at least two years of additional study and the development and defense of an original dissertation that contributes to the development of canon law after having earned the degree Licentiate of Canon Law. Only pontifical universities and ecclesiastical faculties of canon law may grant the doctorate or licentiate in canon law.
The Licentiate of Canon Law is a three-year degree, the prerequisite for the study of which is normally the graduate level bachelor of sacred theology (S.T.B.), a master of divinity (M.Div.), a master of arts in Roman Catholic theology (M.A.), or a civil law degree (J.D. or LL.B.) and a bachelor degree in canon law (J.C.B.) or its relative equivalent.
While not a civil law degree, the doctor of canon law is in some ways comparable to the Doctor of Juridical Science (J.S.D.) or doctor of laws (LL.D.) in terms of academic level of study as they are terminal academic degrees.
>>>>The Pontifical Urbaniana University, is an academic institution belonging to the Congregation for the Evangelisation of Peoples. The University provides for research and teaching within the framework of the Holy See's educational system regulated by the Congregation for Catholic Education.
The origins of the Urbaniana date back to 1st August 1627, when Pope Urban Urban VIII decided to establish the Urban College with the Bull Immortalis Dei Filius, which was the very first educational institution within the Congregation De Propaganda Fide.
The origins of the university date back to Pope Urban VIII who decided to establish the Urban College with his papal bull Immortalis Dei Filius (August 1, 1627). The Pontifical Urbaniana University was endowed with the title "Pontifical" with the motu proprio Fidei Propagandae of Pope John XXIII, on October 1, 1962.
From its beginnings, the Urbaniana has always been an academic institution with a missionary character that has served the Catholic Church through the formation of missionaries and experts in the area of Missiology or other disciplines, necessary in the evangelizational activity of the Church.
Since 1966, the Urbaniana has accepted the affiliation of Seminaries and Institutes of Philosophy, Theology, Missiology, and Canon Law from all over the world.
The university had about 1400 students in 2004.
The university, which is located on the Janiculum Hill in Rome, has four faculties: the faculty of Theology, the faculty of Philosophy, the faculty of Canon Law, and the faculty of Missiology.
The university's mission is to train priests, religious brothers and sisters, and lay people for service as missionaries.
While the university is owned and operated by the Congregation for the Evangelization of Peoples, whose Prefect (currently Fernando Filoni) is ex officio the Chancellor of the university, as a center of higher education it is regulated by the Congregation for Catholic Education.
Naomba kuwasilisha.
Wakatabahu,
HK.
Ajibu ama vinginevyo hana tofauti na usomi wa akina Salmini Amour na Mugabe na kama ndiyo kweli hana hoja za kuwacheka wengine. Kwa hakika anapaswa kufafanua!
From: Dr. Hamisi A. Kigwangalla
Sent: Wed, 25 May, 2011 11:36:39
Subject: Re: Ujio wa CHADEMA Iringa: Tafsiri Yangu
LESSIan Mollel, for goodness sake I am an academic, I never talk factlessly!
Ninaposema amesomea mambo ya dini sibahatishi, kama kuna mwenye taarifa sahihi
zaidi ya hizi nitakazozitoa hapa chini basi na azilete hapa. I dont hate the guy
but these are facts and for upright people like me (Tundu Lissu knows my
history) we always stand for the truth.
I never fear the consequences of my actions as long as I believe in something...I used to be a great fun of Slaa when he was MP, but slowly I begun to see how low and insufficient he was for a President!
I lost interest even in listening at him. I am fond of revolutionaries, like Sankara, Lumumba, Gandhi, X, Nyerere, King Jr and even
recently Obama, but he is never even an inch close to being a charismatic leader of our times in this country!
He wouldnt even appeal to common people and convince them to vote for him, analijua hili na ndo maana anataka kuleta vurugu
kwa kauli za kichochezi, anadhani hiyo ndiyo itakuwa shortcut yake ya kwenda ikulu.
Bora hata young people like Lissu, Zitto, Mnyika, Wenje ninawaona wana-appeal na wanaweza hata kuja kutusumbua huko mbele kama wakijipanga vizuri na 'wakipewa' nafasi!
Huyu hapa ndiyo:
Willibrod Peter Slaa (J.C.D., ikimaanisha Juris Canonici Doctor) ambayo aliipata kutoka
The Pontifical Urbaniana University.
Date and Place of Birth: 29.10.1948,Kwermusl,Mbulu,Tanzania.
EDUCATION:
PRIMARY: 1958-1961 Kwermusl
1962-1965 Karatu Middle School.
SECONDARY: 1966-1969 Dunguyi Seminary
1970-1971 Itaga Seminary
PHILOSOPHY:
1972-1973 Kibosho Seminary
THEOLOGY:
1974-1977 Kipalapala Seminary
1974-1976 Makerere University,Diploma,Theology Alisoma Kipalapala, Tabora na
Makerere mwaka huo huo mmoja!
HIGHER EDUCATION:
1979-1981 Pontifical Urbanian University,Rome,JCD(summa cum laude) Doctor gani ya kusoma miaka miwili, na hapo hatujajua ni miezi gani aliingia, inawezekana ni chini ya miaka hii miwili inayoonekana hapa kwenye Bio yake! Hana Digrii ya Kwanza, wala ya Pili, Hiki Chuo kinachukua wanafunzi walio below standards kuingia kusomea masomo ya level ya tatu?
Elimu ya Slaa, hata hiyo hiyo ya Sheria ya Dini ina Mashaka makubwa. Kumbe hata Sheikh au Ustadh yeyote yule anaweza kupewa Honoris Doctor na kuomba Urais na akatuongoza kwa kutumia elimu yake ya kitaa na ile ya sheria za dini (Islamic Jurisprudence).
Kweli watanzania wasitupe Big G yao mdomoni kwa kupewa karanga za kuonjeshwa! Na tutaanza kazi ya kuwaelimisha watanzania kuhusu hii falsafa.
Bora hata huyo JK mwenye BA kutoka chuo kinachoeleweka na Honoris Doctor na Honoris Magister zilizowazi na kutoka vyuo vinavyoeleweka.
Kisha uzoefu na exposure ya JK kiuongozi na kidiplomasia ni kubwa sana kuliko huyu Bwana Slaa wenu mnayemfagilia sana kuwa ni msomi!
1980-1980 ADV.Diploma-Socio-Political Studies,Koln,Germany(KAF) Advance diploma gani ya kusoma Mwaka Mmoja?
1981-1981 St.Thomas Aquinas University,Rome,AD.Diploma Rural Development Advanced Diploma gani hii nayo tena?
1985-1985 London COR.College, Principles and Practice of Management Certificate.
>>>>Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor; J.C.D.) is the doctoral-level terminal degree in the studies of canon law of the Roman Catholic Church.
It may also be abbreviated I.C.D. or dr.iur.can. (Iuris Canonici Doctor), ICDr., D.C.L., D.Cnl., D.D.C., or D.Can.L. (Doctor of Canon Law). Doctor of both laws (i.e. canon and civil) are J.U.D. (Juris Utriusque Doctor), or U.J.D. (Utriusque Juris Doctor).
A doctorate in canon law normally requires at least two years of additional study and the development and defense of an original dissertation that contributes to the development of canon law after having earned the degree Licentiate of Canon Law. Only pontifical universities and ecclesiastical faculties of canon law may grant the doctorate or licentiate in canon law.
The Licentiate of Canon Law is a three-year degree, the prerequisite for the study of which is normally the graduate level bachelor of sacred theology (S.T.B.), a master of divinity (M.Div.), a master of arts in Roman Catholic theology (M.A.), or a civil law degree (J.D. or LL.B.) and a bachelor degree in canon law (J.C.B.) or its relative equivalent.
While not a civil law degree, the doctor of canon law is in some ways comparable to the Doctor of Juridical Science (J.S.D.) or doctor of laws (LL.D.) in terms of academic level of study as they are terminal academic degrees.
>>>>The Pontifical Urbaniana University, is an academic institution belonging to the Congregation for the Evangelisation of Peoples. The University provides for research and teaching within the framework of the Holy See's educational system regulated by the Congregation for Catholic Education.
The origins of the Urbaniana date back to 1st August 1627, when Pope Urban Urban VIII decided to establish the Urban College with the Bull Immortalis Dei Filius, which was the very first educational institution within the Congregation De Propaganda Fide.
The origins of the university date back to Pope Urban VIII who decided to establish the Urban College with his papal bull Immortalis Dei Filius (August 1, 1627). The Pontifical Urbaniana University was endowed with the title "Pontifical" with the motu proprio Fidei Propagandae of Pope John XXIII, on October 1, 1962.
From its beginnings, the Urbaniana has always been an academic institution with a missionary character that has served the Catholic Church through the formation of missionaries and experts in the area of Missiology or other disciplines, necessary in the evangelizational activity of the Church.
Since 1966, the Urbaniana has accepted the affiliation of Seminaries and Institutes of Philosophy, Theology, Missiology, and Canon Law from all over the world.
The university had about 1400 students in 2004.
The university, which is located on the Janiculum Hill in Rome, has four faculties: the faculty of Theology, the faculty of Philosophy, the faculty of Canon Law, and the faculty of Missiology.
The university's mission is to train priests, religious brothers and sisters, and lay people for service as missionaries.
While the university is owned and operated by the Congregation for the Evangelization of Peoples, whose Prefect (currently Fernando Filoni) is ex officio the Chancellor of the university, as a center of higher education it is regulated by the Congregation for Catholic Education.
Naomba kuwasilisha.
Wakatabahu,
HK.
Last edited by a moderator: