Kumbe kakutana na wewe Kabakabana ha ha
na mimi nilitaka kuulizaUliijua id yake?
Dah! Mi nimemwona mmoja kwenye daladala anabofya simu ila nikamchunia.
nimeshakutana na Mwana JF mmoja pale Benjamin Mkapa Tower kwenye Internet Cafe Underground Floor sikuamini they way alivyo smart na ni mtu wa makamo na pumba ambazo hua anatapika humu jamvini
Mimi nilimkuta mvuta bangi flani akaniuliza "mwanangu unaipata JF?" nikamwambia naipata kunani jibaba? akajibu "Mzazi pale ndo nimejifunza kupandisha moshi, yaani kabla kujiunga JF mimi na bange tulikuwa kama Lucky dube na tarabu, hatujuani"
Uliijua id yake?
Kwanini sasa umchunie?
Si mngesalimiana tu!
Mbona ni vema tukawa kama jina la mtandao ilivyo ingekuwa vema sana?
Yani wewe Husninyo nikuone upo kwenye mtandao wa JF halafu nikuache bila ya salaam? Mi kweli nisingekubali.
Mpk nikuwe ID yako! Halafa baadae ndiyo tutajuana mbele kwa mbele jamvini!
Ingekuwa safi!
Mimi nilimkuta mvuta bangi flani akaniuliza "mwanangu unaipata JF?" nikamwambia naipata kunani jibaba? akajibu "Mzazi pale ndo nimejifunza kupandisha moshi, yaani kabla kujiunga JF mimi na bange tulikuwa kama Lucky dube na tarabu, hatujuani"