Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Mara ningi siwezi na nasipendi kujadili watu. Lakin Dr Hussein Mwinyi ana utashi mkubwa ndio maana alichaguliwa kuwa mbunge wa Mkuranga kabla kuvuka maji na kuchaguliwa mjini unguja. Pasi na shaka yoyote ana mvuto mkubwa sana kwa wapiga kura wake na ndio maana akachaguliwa.
Kama utajiepusha na utumwa wa akili wa kuona KUWA NI DHAMBI KUBWA KWA MTOTO WA KIGOGO KUGOMBEA UONGOZI na kujali uwezo na utashi wa uongozi wa jamii utakuwa umejitenga sana na dhambi ya ubaguzi kwa watoto wa vigogo.
Mimi nakushauri angalia vigezo na maamuzi yote yanabaki kwa wapga Kura ambao ndio wanaomchagua au kumbwaga.
Pole sana
Nadhani wewe ndio unastahili pole...utajadili vipi siasa bila kujadili wanasiasa(watu)?.......nina hakika kabisa ''DR'' HUSSEIN asingekuwa katika siasa kama si kwa baba yake kuwa Rais......achilia mbali kuwa ''Daktari''