Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
ukifika mwambie nataka tukutanishe vikojoleo vyetu......mambo mengine yatajipa yenyeye automatikali.
dah siku moja ntajaribu kusema na msichana duh nione kama atarespond....
ukifika mwambie nataka tukutanishe vikojoleo vyetu......mambo mengine yatajipa yenyeye automatikali.
Mkuu ucjal, that day piga "sura ya mbuzi", ucjichekeshe chekeshe hovyo, story zako ziwe za moja kwa moja, acha braha brahaa!Jamani niambie nifanye nini ili huyu binti ninayeenda kukutana nae jmosi asinione boya maana sijawai kuwa na msichana tangu nibalee!
Mkuu, dah! Sijui hata niseme nini, anyway thanks...Hivi nasikiaga ukiacha U Pastor wanakuwaga wana siasa au? mkuu upo juuu kila kona....
Teh teeh teeeh wacha muchezooooooooooo!!!Kunafunguo zina holder kama ya BMW nunua hiyo uwe unatikisa tikisa kwenye maongezi nasikia hao watu wanapenda sana wakijua unatembea huku umekaa
moja kwa moja sema una sh ngapi!!!!Mkuu ucjal, that day piga "sura ya mbuzi", ucjichekeshe chekeshe hovyo, story zako ziwe za moja kwa moja, acha braha brahaa!
ukifika mwambie nataka tukutanishe vikojoleo vyetu......mambo mengine yatajipa yenyeye automatikali.