Dunda kwetu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 265
- 37
Huyo ni chui wa kichina!
Kwa hiyo huyu aliyempiga picha yeye hakuwa na fikra ya kumsaidia jamaa?
Sure mchakani, huyu kama sio wa kichina basi jamaa ndo mchina anapiga judo vizuri
Hahaha aaahh wacha kutusha thamani mbona wakina yelloooo ngangali na wanakimbiwa na simbaAngekuwa mbongo, wangekuta jamaa ameshakufa na suruali imesheheni haja kubwa ile mbaya!
Mbele ya fedha tena kwa wahindi wewe huo mzigo ni wakoAlikua anataka akauze, pesa mbele uncle na ndo mana bongo zikitokea ajali badala watu kuokoa majeruhi, wanapiga sachi mifukoni