Usiyoyajua kuhusu Egypt Air crash

No Escape

JF-Expert Member
Mar 7, 2016
6,664
7,728
-Ilitoka Paris airport saa 2109GMT Wednesday ikitegemewa kutua cairo Airport at 0115GMT.

-Saa 324GMT Iliingia Greek airspace.

-Controller wa Greek Airtraffic aliongea kwa mara ya mwisho saa 2345 na pilot aliripoti kuwa hakuna tatizo!

-Greek controller alipojaribu kuwasilliana kwa mara nyingine saa 0027GMT hapakuwa majibu kutoka kwa rubani!

-Ndege iliripotiwa kupotea kwenye radar za ugiriki saa 0029,40.

-Ilipofika saa 0030GMT ilipotea kwenye radar ya Egypt 280km coast.

-Jitihada za kuitafuta zilianza mara moja saa 0045, baada ya Rais wa Ufaransa kutangaza kuhusu crashing.

-Ndege ilifanya abrupt turns' yaani 90 degrees left then 360 Right.

-Baadae ilishuka kutoka 37000 mpaka 15000 then ikapotelea 10000...

So sad!

Itaendelea.....

Asubuhi njema!
 
.Ilitoka Paris airport saa2109GMT Wednesday ikitegemewa kutua cairo Airport at 0115GMT.
.Saa2324GMT Iliingia Greek airspace.
.Controller wa Greek Airtraffic aliongea kwa mara ya mwisho saa2345 na pilot aliripoti kuwa hakuna tatizo!
.Greek controller alipojaribu kuwasilliana kwa mara nyingine saa0027GMT hapakuwa majibu kutoka kwa rubani!
.Ndege iliripotiwa kupotea kwenye radar za ugiriki saa0029,40.
Ilipofika saa0030GMT ilipotea kwenye radar ya Egypt 280km coast.
.jitihada za kuitafuta zilianza mara moja saa0045,baada ya Rais wa ufaransa kutangaza kuhusu crashing.
.Ndege ilifanya abrupt turns' yaani 90degrees left then 360Right.
Baadae ilishuka kutoka37000 mpaka 15000 then ikapotelea 10000...So sad!
Itaendelea.....Asbh njema!
Imetekwa au imeanguka?
 
Tusubiri taharifa ya computer box maana habari tofauti ni nyingi mara rubani alijaribu kubadili uwelekeo...bbc.cnn..aljazera
 
EgyptAir missing plane MS804: Live updates - CNN.com

Greek ships are no longer participating in the search for Egyptair flight 804, the deputy spokesman of the Hellenic National Defense General Staff, Commander Marius Tzannis, tells CNN.

Greece had sent a frigate to the area on Thursday but, according to Commander Tzanis, it has now pulled the ship back to Karpathos island.

Greek coastguard vessels are not in the area either as they do not have the capacity to operate so far away from the coast, Commander Tzannis added.

Commander Tzannis also says Egyptian officials are leading the search operations because they are taking place in an area that is part of the Cairo flight information region, 230 nautical miles southeast of Crete, which by law falls under Egyptian control.

According to Commande Tzannis, despite pulling the warships back, Greece still has a C-130 aircraft operating in the area and several others on standby in Crete and Karpathos island, including “an appropriate number” of F-16s.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom