Usiwe na haraka unapohitaji mpenzi wa kweli mtandaoni.

Kutafuta mpenzi mtandaoni ni suala ambalo linaonekana la ajabu mbele ya akili za watu. Ajabu zaidi ni pale unapotaka jambo hilo lifanikiwe ndani ya siku hiyo hiyo.
Watu tunaoingia mitandaoni ndio sisi sisi tunaoishi mitaani.
Mitandaoni ni namna nyingine ya kuonana na watu ingawa sio ana kwa ana.
Najua humu wapo watu single wanaojiheshimu na ambao wangehitaji mume/mke wa ukweli lakini namna ya kufikisha hitaji lao huwa ni utata, wengine hufikiria wataonekanaje, wengine huofu endapo hawatofanikiwa lengo lao watakuwa wamepoteza muda.
KWA WANAUME:
kama ungependa kupata mchumba JF usifanye haraka. Humu tunajuana kwa michango tunayotoa. Kwa kiasi fulani unaweza kujua fulani ana tabia fulani inayokuvutia. Jaribu kujenga mazoea. Unaweza kumuadd as a friend then ukawa unaMPM kumsalimia, akitoa threads zake changia kadri uwezavyo, ukimkosa online kwa siku kadhaa kavisit profile yake. Akirudi ataona jina lako ni mmoja wa aliyevisit profile lake.
Hayo yote ni kujenga ukaribu na kumjua vizuri mwenzio kabla hujaamua kurusha ndoano.
UkiMPM epuka kumdadisi sana mambo yake binafsi, epuka kutanguliza namba ya simu katika hatua za awali na epuka kuongelea mapenzi.
Kama kweli una nia usikurupuke. Ukikurupuka hata sisi tunastuka.
NB: sijamaanisha mtu anayefanya niliyoyataja anatafuta uchumba.
Nawasilisha.



Well said. I Love it...:cheer2:
 
hakuna paka anayefundishwa kuwinda panya.na siku zote hakuna mjanja wa mapenzi.unaweza ukawa na halaka ukafanikiwa,vilevile ukajifanya huna halaka ukakuta mwana si wako.
mfano mdogo ni maisha ya kawaida;
unakuta mtu ndo kwanza mnaanza kuzoeana mala anaanza maswali...tutaenda kujitambulisha lini?mala una mpango gani na mimi?yaani unakuta ana harakaharaka.so hata kwenye mtandao inabidi iwe hivyo ili mtu ajue moja.mimi nikipenda huwa natangaza nia hapohapo.
faster ndo dili.mia
 
Ahsnte Husninyo but...Logic will get you from A to B. Imagination will take you everywhere.
 
Kutafuta mpenzi mtandaoni ni suala ambalo linaonekana la ajabu mbele ya akili za watu. Ajabu zaidi ni pale unapotaka jambo hilo lifanikiwe ndani ya siku hiyo hiyo.
Watu tunaoingia mitandaoni ndio sisi sisi tunaoishi mitaani.
Mitandaoni ni namna nyingine ya kuonana na watu ingawa sio ana kwa ana.
Najua humu wapo watu single wanaojiheshimu na ambao wangehitaji mume/mke wa ukweli lakini namna ya kufikisha hitaji lao huwa ni utata, wengine hufikiria wataonekanaje, wengine huofu endapo hawatofanikiwa lengo lao watakuwa wamepoteza muda.
KWA WANAUME:
kama ungependa kupata mchumba JF usifanye haraka. Humu tunajuana kwa michango tunayotoa. Kwa kiasi fulani unaweza kujua fulani ana tabia fulani inayokuvutia. Jaribu kujenga mazoea. Unaweza kumuadd as a friend then ukawa unaMPM kumsalimia, akitoa threads zake changia kadri uwezavyo, ukimkosa online kwa siku kadhaa kavisit profile yake. Akirudi ataona jina lako ni mmoja wa aliyevisit profile lake.
Hayo yote ni kujenga ukaribu na kumjua vizuri mwenzio kabla hujaamua kurusha ndoano.
UkiMPM epuka kumdadisi sana mambo yake binafsi, epuka kutanguliza namba ya simu katika hatua za awali na epuka kuongelea mapenzi.
Kama kweli una nia usikurupuke. Ukikurupuka hata sisi tunastuka.
NB: sijamaanisha mtu anayefanya niliyoyataja anatafuta uchumba.
Nawasilisha.

umeongelea upande mmoja tu. Vipi kuhusu ubavu wa kushoto?
 
Kutafuta mpenzi mtandaoni ni suala ambalo linaonekana la ajabu mbele ya akili za watu. Ajabu zaidi ni pale unapotaka jambo hilo lifanikiwe ndani ya siku hiyo hiyo.
Watu tunaoingia mitandaoni ndio sisi sisi tunaoishi mitaani.
Mitandaoni ni namna nyingine ya kuonana na watu ingawa sio ana kwa ana.
Najua humu wapo watu single wanaojiheshimu na ambao wangehitaji mume/mke wa ukweli lakini namna ya kufikisha hitaji lao huwa ni utata, wengine hufikiria wataonekanaje, wengine huofu endapo hawatofanikiwa lengo lao watakuwa wamepoteza muda.
KWA WANAUME:
kama ungependa kupata mchumba JF usifanye haraka. Humu tunajuana kwa michango tunayotoa. Kwa kiasi fulani unaweza kujua fulani ana tabia fulani inayokuvutia. Jaribu kujenga mazoea. Unaweza kumuadd as a friend then ukawa unaMPM kumsalimia, akitoa threads zake changia kadri uwezavyo, ukimkosa online kwa siku kadhaa kavisit profile yake. Akirudi ataona jina lako ni mmoja wa aliyevisit profile lake.
Hayo yote ni kujenga ukaribu na kumjua vizuri mwenzio kabla hujaamua kurusha ndoano.
UkiMPM epuka kumdadisi sana mambo yake binafsi, epuka kutanguliza namba ya simu katika hatua za awali na epuka kuongelea mapenzi.
Kama kweli una nia usikurupuke. Ukikurupuka hata sisi tunastuka.
NB: sijamaanisha mtu anayefanya niliyoyataja anatafuta uchumba.
Nawasilisha.


asante Husninyo kwa wazo lako,
lakini kumbuka kuwa haya mambo hayana formula mama,
unaweza kuta jamaa akafuata hizo procedures zote ulizotoa ,
lakini kumbe mwisho wa siku shida yake ni kudonoa tu na kuingia mitini,
halafu yule anaeulizia namba za simu na kutoa shida zake kwa uharaka,
anaweza kuwa ndio mpenzi wa kweli na mwenye nia!
stuka hapo Husninyo!
 
Ushauri mzuri Husninyo....nakubaliana na ww kuwa yahitajika watu wafahamiane walau kidogo kuweza kuanza hatua za kimapenzi....napata shida na hofu sana na watu wanaokuja kama vile wametumwa au wameambiwa watakufa karibuni na hawataki kufa kabla hawajaoa...mtu anakuuliza unapenda chupi ya rangi gani siku ya kwanza ana PM....anyway, Mungu atusaidie,tusije wakataa wachumba wanaokuja kwa fujo...lol
 
All the best watafutaji, msikate tamaa. Well said husninyo
 
Ni ushauri mzuri. Hii si kwenye mtandao tu, ni katika maisha yote. Mashaka ni kuwa hili la muda haliendani na tabia ya mtu, watu wengi wanataka cha uvunguni, hawainui kitanda, bali wanapinda mgongo mpaka unauma.
Jambo la muhimu ni kumuomba ajuaye siri zetu za moyoni akuambie.
 
Kutafuta mpenzi mtandaoni ni suala ambalo linaonekana la ajabu mbele ya akili za watu. Ajabu zaidi ni pale unapotaka jambo hilo lifanikiwe ndani ya siku hiyo hiyo.
Watu tunaoingia mitandaoni ndio sisi sisi tunaoishi mitaani.
Mitandaoni ni namna nyingine ya kuonana na watu ingawa sio ana kwa ana.
Najua humu wapo watu single wanaojiheshimu na ambao wangehitaji mume/mke wa ukweli lakini namna ya kufikisha hitaji lao huwa ni utata, wengine hufikiria wataonekanaje, wengine huofu endapo hawatofanikiwa lengo lao watakuwa wamepoteza muda.
KWA WANAUME:
kama ungependa kupata mchumba JF usifanye haraka. Humu tunajuana kwa michango tunayotoa. Kwa kiasi fulani unaweza kujua fulani ana tabia fulani inayokuvutia. Jaribu kujenga mazoea. Unaweza kumuadd as a friend then ukawa unaMPM kumsalimia, akitoa threads zake changia kadri uwezavyo, ukimkosa online kwa siku kadhaa kavisit profile yake. Akirudi ataona jina lako ni mmoja wa aliyevisit profile lake.
Hayo yote ni kujenga ukaribu na kumjua vizuri mwenzio kabla hujaamua kurusha ndoano.
UkiMPM epuka kumdadisi sana mambo yake binafsi, epuka kutanguliza namba ya simu katika hatua za awali na epuka kuongelea mapenzi.
Kama kweli una nia usikurupuke. Ukikurupuka hata sisi tunastuka.
NB: sijamaanisha mtu anayefanya niliyoyataja anatafuta uchumba.
Nawasilisha.
umemalizaaaaaa.....
 
Ushauri mzuri Husninyo....nakubaliana na ww kuwa yahitajika watu wafahamiane walau kidogo kuweza kuanza hatua za kimapenzi....napata shida na hofu sana na watu wanaokuja kama vile wametumwa au wameambiwa watakufa karibuni na hawataki kufa kabla hawajaoa...mtu anakuuliza unapenda chupi ya rangi gani siku ya kwanza ana PM....anyway, Mungu atusaidie,tusije wakataa wachumba wanaokuja kwa fujo...lol
Dah!!! Huyu ana hatari kweli
 
Hunsinyo, wewe ni He au She? I hope hili swali halitokukwaza...btw, umefikiria kina kweli kweli kwenye hii thread..Kazi kwa watafutaji:))
 
Back
Top Bottom