TaiJike
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 1,483
- 666
Dereva mmoja kwa jina MIKE alikuwa anampeleka boss wake Airport. Njiani Boss alikumbuka kuwa amesahau document muhimu sana hivyo alimwamrisha Mike amrejeshe haraka nyumbani aifuate hiyo document. Walipofika nyumbani Boss alimkuta mkewe yuko bafuni anaoga na amejipaka sabuni usoni. Kwa mapenzi mumewe alifungua mlango wa bafuni na kumshika makalio na ndipo mkewe alipojibu, ''MIKE ushamfikisha huyo mpumbavu airport kwa haraka hivyo. Usiwe na haraka tutakuwa na raha weekend yote hii kwani tutakuwa wote LAAZIZ wangu. Mkewe boss akaona kimya akaona kulikoni?Aliosha uso wake na mara akamwona mumewe?? Jamani kilichoendelea mimi sijui......Unadhani safari iliendelea?