Wanajamvi wengi wetu tunaotafuta kazi siku ya interview hasa hasa oral ndio siku ya red carpet... Unapiga pamba unayoiaminia yaani unavunja kabati kwa kiswahili cha mtaaa... Suti, tai, saloon kwa sana, uturi, n.klkn wengine wamekuwa wakijisahau hadi siku ya written interview nayo anapoteza muda kibao kuzunguka kutafuta nguo eti awe smart.... Aaaah huuu utoto sasa, utakuta misuti, tai nk vyoote hivi vitakugasi tuu kuandika vizuri kwenye pepa yako. Njoo simpo tu ukiwa free ili upate hewa ya kutosha piga pepa rudi zako hom. Mbaya zaidi unavunja kabati leo kwa written then jioni unaambiwa uende kesho kwa ajili ya oral utavaa nini kesho yake sasa na zile unazoamini full matope... Semeni sasa!!! Amkeni bana... Mnatuudhi na misuti yenu kwenye written.