Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Kama kuna mtu amemharibia JK ni Mkapa.
Kumuita Lipumba kokoto? CUF unawaita kokoto kabla kura hazijapigwa Zenji? Mtaniambia kama huyo Shein atashinda. Nitakula maneno yangu.
Tena nashukuru Ilirushwa Tanzania nzima kupitia TBC.
Uitwe kokoto kabla ya kupiga kura halafu kesho yake (leo) uchague CCM??
Unalaana au??
Kumuita Lipumba kokoto? CUF unawaita kokoto kabla kura hazijapigwa Zenji? Mtaniambia kama huyo Shein atashinda. Nitakula maneno yangu.
Tena nashukuru Ilirushwa Tanzania nzima kupitia TBC.
Uitwe kokoto kabla ya kupiga kura halafu kesho yake (leo) uchague CCM??
Unalaana au??