Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,564
- 52,200
mkuu mbona nashindwa kukuelewa unasemaje vile.
...Usitegemee ukweli wowote kutoka kwa Dk. Steven ulimboka.
...Kwanini?,
Hivi ungekua wewe ndio Dk. Ulimboka una sifa zifuatazo
...Labda una familia yenye watoto zaidi ya wawili, Mke pamoja na other relatives..
Hivi TISS wakisema au wakiku-hakikishia kuwa moja ya mtoto wako atakua kama bond ya
kulinda kilichotokea,
Kumbuka watoto au mtoto anaweza akawa framed kwenye ajali ya kugongwa na gari..
wewe kama baba unachukua move gani?.
NB
Swala hili ni la kufikirika ukilinganisha na chelikari yetu.