Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,961
- 2,138
Tukumbuke kaandika hili bandiko jana jumamosi kati ya saa moja na mbili asubuhi, na tukumbuke juzi Ijumaa kulikuwa na send off nyingi tu, tutajuaje, labda kafakamia huko kila aina ya kinywaji (Valuu, Safari, Champagine, John Walker etc) pamoja na zilizotengwa kwa ajili ya high table. Alipotoka huko kwenye sherehe usiku saa nane akaingia mtandaoni huku maluweluwe kibao kichwani na kuanza na heading "Usisome hapa", na halafu akaenda ku-cut and paste mada kuu toka kwenye My Document, mada hii aidha ni yake ya awali au kachakachua toka hukoooooooooooooo anakokufahamu!!!! Msameheni alikuwa hajui atendalo, ila mpeni hongera mada kuu inatoa ujumbe mzito na wa kuelimisha wazazi na walezi walio makini!!!