'Usisome Hapa'

Haki ya Walakhi wee ndo great thinker..
duuhh eti "usisome hapa"
mmhh naunajua kila mtu anataka kujua kuna nini huku ndani
kwa hiyo lazima tusome..
very smart...
im clapping for uuu...
 
Haki ya Walakhi wee ndo great thinker..
duuhh eti "usisome hapa"
mmhh naunajua kila mtu anataka kujua kuna nini huku ndani
kwa hiyo lazima tusome..
very smart...
im clapping for uuu...

Wanywa gongo wanapongezana.
 
Huwa inaandikwa; "usikojoe hapa" lakini watu ndio kwanza wanaongeza bidii ya kupalowesha, au "usitupe taka hapa" na kinachofuata ni kinyume chake.


Mchango wangu: Tv ndugu yangu na hizi tamsilia za "Acapuloco bay" ni wazazi wenye nguvu sana kuliko wazazi halisi, huko uswazi video za ngono zinaonyeshwa wazi tu hata watoto wanaona. Mungu saidia kuwapa uwezo wazazi wa malezi mema kwa watoto wao.
 
Kwa wastani umeongea point wazazi tunatakiwa ku play part yetu katika hili

Good point.
 
Uliandika heading baada ya kunywa piwa nini?

Pure PM bwana eti tusisome halafu analeta mada za kizushi watoto wa dot.com atawaweza huyu?? Wote wanasoma St. nini nini sijui, mara green acres, mara Faza school wapi na wapi anacheza makida makida huyu!!!
 
nimecheka hayo maneno yako wewe... nahisi kama nakuona alivyokubore.... mi nimeifungua halafu nikafumba macho... nikashushia kwa wachangiaji naona kuna maandishi nikasema yaani hawa watakuwa wamesoma??? ikabidi na mi nifanye maujanja..
Huyu jamaa anachekesha eti usisome alafu kaaandika
:love:
 
Huwa inaandikwa; "usikojoe hapa" lakini watu ndio kwanza wanaongeza bidii ya kupalowesha, au "usitupe taka hapa" na kinachofuata ni kinyume chake.


Mchango wangu: Tv ndugu yangu na hizi tamsilia za "Acapuloco bay" ni wazazi wenye nguvu sana kuliko wazazi halisi, huko uswazi video za ngono zinaonyeshwa wazi tu hata watoto wanaona. Mungu saidia kuwapa uwezo wazazi wa malezi mema kwa watoto wao.

Nashukuru sana kwa kutambua nguvu ya wazazi na walezi katika kuharibu ama kuwajenga watoto wetu. Pamoja tunaweza kuijenga Tanzania upya.
 
Pure PM bwana eti tusisome halafu analeta mada za kizushi watoto wa dot.com atawaweza huyu?? Wote wanasoma St. nini nini sijui, mara green acres, mara Faza school wapi na wapi anacheza makida makida huyu!!!

Pole sana, inawezekana nimekuboa sana lakini binafsi ninahisi wewe ni moja tu ya ma'mbwiga' wengi waliojificha ndani ya mjengo huu, JF, wakijiita 'great thinkers' wakati si lolote. Great thinkers hawakurupuki! Huko st. nini sijui, ama popote unakokujua wewe kuna wazazi/walezi hata watoto wa uswazi wana wazazi/walezi ambao bila shaka wanachangia kuharibika kwa watoto. Remember, no one is born evil, uovu wote tunajifunza hapa hapa duniani kutoka kwa waliotangulia kuliona jua. Hapakufai hapa, katafute forums nyingine nje si JF. Pole.
 
Msiogope 'great thinkers' maana yangu ilikuwa simple tu. Mara nyingi unapomzuia mtu kufanya kitu na kama hukumpa maelezo ya kutosha kwa nini atii onyo lako basi kutokana na udadisi lazima atafanya ili tu kujiridhisha mwenyewe ubaya ama uzuri wa kutii ama kutotii. Ni kweli nimeandika usisome, wapo baadhi wamesoma siwalaumu kwa sababu sikutoa sababu ya kwa nini wasisome. Nilitaka tujifunze kutoka makosa tunayofanya kwa kuto kutoa maelezo ya kutosha. Nashukuru kwa Great, great Thinkers wachache walionielewa. Hongereni sana.

Heri mimi sijasoma
 
Jamani me sijasoma, nimejump tu kwenye comment, vipi kwani ameandika nini jamaa? unajua wakati mwengine ukubwa dawa, na masharti ni muhimu, nimeogopa kupofuka macho.
 
Back
Top Bottom