Haki ya Walakhi wee ndo great thinker..
duuhh eti "usisome hapa"
mmhh naunajua kila mtu anataka kujua kuna nini huku ndani
kwa hiyo lazima tusome..
very smart...
im clapping for uuu...
Uliandika heading baada ya kunywa piwa nini?
Wanywa gongo wanapongezana.
Uliandika heading baada ya kunywa piwa nini?
Si ungeipeleka kwenye utani hii?
Wanywa gongo wanapongezana.
Si ungeipeleka kwenye utani hii?
:love:Huyu jamaa anachekesha eti usisome alafu kaaandika
Huwa inaandikwa; "usikojoe hapa" lakini watu ndio kwanza wanaongeza bidii ya kupalowesha, au "usitupe taka hapa" na kinachofuata ni kinyume chake.
Mchango wangu: Tv ndugu yangu na hizi tamsilia za "Acapuloco bay" ni wazazi wenye nguvu sana kuliko wazazi halisi, huko uswazi video za ngono zinaonyeshwa wazi tu hata watoto wanaona. Mungu saidia kuwapa uwezo wazazi wa malezi mema kwa watoto wao.
Pure PM bwana eti tusisome halafu analeta mada za kizushi watoto wa dot.com atawaweza huyu?? Wote wanasoma St. nini nini sijui, mara green acres, mara Faza school wapi na wapi anacheza makida makida huyu!!!
Msiogope 'great thinkers' maana yangu ilikuwa simple tu. Mara nyingi unapomzuia mtu kufanya kitu na kama hukumpa maelezo ya kutosha kwa nini atii onyo lako basi kutokana na udadisi lazima atafanya ili tu kujiridhisha mwenyewe ubaya ama uzuri wa kutii ama kutotii. Ni kweli nimeandika usisome, wapo baadhi wamesoma siwalaumu kwa sababu sikutoa sababu ya kwa nini wasisome. Nilitaka tujifunze kutoka makosa tunayofanya kwa kuto kutoa maelezo ya kutosha. Nashukuru kwa Great, great Thinkers wachache walionielewa. Hongereni sana.
Nashukuru sana kwa kutambua nguvu ya wazazi na walezi katika kuharibu ama kuwajenga watoto wetu. Pamoja tunaweza kuijenga Tanzania upya.
Duuhhh kumbe hata polisi waoga. .hahahahh lol.Heri mimi sijasoma