Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,136
Before ulikuwa na kiasi lakini umeenda ahospitali hivi karibuni wanasema ni zero kabisa,,,sikujui hunijui lakini mungu ndie anajua hajaya moyo wako..mkeo anakaribia kukukimbia na ndugu wamekucheka sana lakini watakuja kukuletea nepi na gari za watoto wako mwezi kama huu mwakani
mungu ameona haja ya moyo wako umekuwa ukitoa sana na mungu amesema sasa ni wakati wa ko wa kupokea..naomba uamini mungu na huyo mtot alietakiwa kuzaliwa sasa watazaliwa watoto ..jesus never say bye namaanisha bado loloteunaloomba anakwenda kufanya...remember good ios not enough better is yet to come
pengine umekuwa na shida ya uzazi nimekuwa nikiombea watu waluokuwa na shida ya uzazi pande zote jana na leo nilikuwa na maombi ya kushukuru nikaonyesha watu zaidi ya sita naamini ukiamini utakuwa ammoja wapo mungu anakwenda kukupa haja ya moyo wako tafadhali jihadhari na dhambi uOVU wowote na wewe kama mkeo amefikiria kutoka nje kwa ajili hiyo mungu anakwenda kumbadilisha in jesus name..akuna ndoa ilioleetwa dunian bila uzao soma mwanzo 1:24 simama na hilo neno utakuwa shuhuda wa haya ninayosema mwezi kama huu mwakani
mungu awabariki na kuwapa haja za mioyo yenu wote mnaoitaji watoto
mungu ameona haja ya moyo wako umekuwa ukitoa sana na mungu amesema sasa ni wakati wa ko wa kupokea..naomba uamini mungu na huyo mtot alietakiwa kuzaliwa sasa watazaliwa watoto ..jesus never say bye namaanisha bado loloteunaloomba anakwenda kufanya...remember good ios not enough better is yet to come
pengine umekuwa na shida ya uzazi nimekuwa nikiombea watu waluokuwa na shida ya uzazi pande zote jana na leo nilikuwa na maombi ya kushukuru nikaonyesha watu zaidi ya sita naamini ukiamini utakuwa ammoja wapo mungu anakwenda kukupa haja ya moyo wako tafadhali jihadhari na dhambi uOVU wowote na wewe kama mkeo amefikiria kutoka nje kwa ajili hiyo mungu anakwenda kumbadilisha in jesus name..akuna ndoa ilioleetwa dunian bila uzao soma mwanzo 1:24 simama na hilo neno utakuwa shuhuda wa haya ninayosema mwezi kama huu mwakani
mungu awabariki na kuwapa haja za mioyo yenu wote mnaoitaji watoto