The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
"......kama baadhi ya watu wanavyohoji chimbuko la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kati ya Julius Nyerere na Abeid Karume ndivyo leo watu wanavyotaka kujua ni makubaliano gani yaliyofikiwa kati ya Rais Karume na Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad walipokutana Ikulu. Ukiacha mbali wawili hao hakuna mwingine anayejua kile hasa kilichozungumzwa na kusababisha kuanza kwa mchakato wa kuisaka Serikali ya Umoja wa Kitaifa...."
Tayari Mwakilishi wa Jimbo la Mkwajuni, Mbarouk Wadi Mtando(CCM) ametaka apewe ufafanuzi na SMZ kupitia Baraza la Wawakilishi kilichopita, pale alipotaka kujua iwapo maridhiano hayo yameandikwa katika kabrasha maalumu kama kumbukumbu au la.
....akijibu swali hilo, Waziri wa Katiba na Sheria, Aboubakary Khamis Bakari(CUF) alisema makubaliano hayo hayakuandikwa katika kabrasha na kwamba yalikuwa yamelenga kutanguliza mbele maslahi ya Zanzibar kama taifa.
my take:
Jibu la Waziri ni la kushangaza. Karne ya 21 bado kuna watu, tena executives, wanafanya mambo makubwa kama haya bila maandishi? Bila kumbukumbu?
source: RAI
Tayari Mwakilishi wa Jimbo la Mkwajuni, Mbarouk Wadi Mtando(CCM) ametaka apewe ufafanuzi na SMZ kupitia Baraza la Wawakilishi kilichopita, pale alipotaka kujua iwapo maridhiano hayo yameandikwa katika kabrasha maalumu kama kumbukumbu au la.
....akijibu swali hilo, Waziri wa Katiba na Sheria, Aboubakary Khamis Bakari(CUF) alisema makubaliano hayo hayakuandikwa katika kabrasha na kwamba yalikuwa yamelenga kutanguliza mbele maslahi ya Zanzibar kama taifa.
my take:
Jibu la Waziri ni la kushangaza. Karne ya 21 bado kuna watu, tena executives, wanafanya mambo makubwa kama haya bila maandishi? Bila kumbukumbu?
source: RAI