Taarifa nilizozipata sasa hivi zinadai kuwa hakukuwa na agenda maalum ya mkutano huo. Waalikwa walipewa nafasi ya kujadili mwelekeo wa nchi, wapi tulipotoka, tulipo na tunapokwenda. Ni kwqeli kuna mashaka makubwa sana hasa pale orodha ya waalikwa inapotajwa hadharani, kwani karibu wote ukiwachambua utaona ni wale wale tu waliojeruhiwa na kisanga cha ufisadi kwa namna fulani, sisemi wote, lakini wengi wao ktk retreat hiyo.