Pilato
Member
- May 29, 2008
- 60
- 1
Kikao cha siri kilichofanyika znz kuanzia 14th to 18th jan 2009 ni aina mpya ya ufisadi ambao ccm inaanda vijan wake.
Hebu wan JF tjiulize kama ccm na serekali ya jk inatumia 500m kwa siku 4 wakati vijana wetu wametimuliwa kwa kukosa ada je huu ni uungwana huyu jamaa na chama chao ni noma wanaandaliwa watumiaji wa baya wa rasilimali wajao.
Hebu wan JF tjiulize kama ccm na serekali ya jk inatumia 500m kwa siku 4 wakati vijana wetu wametimuliwa kwa kukosa ada je huu ni uungwana huyu jamaa na chama chao ni noma wanaandaliwa watumiaji wa baya wa rasilimali wajao.