Mwana kinyonga
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 377
- 216
Kumwelekeza m2 kwa mikono wakat hakuon,kumtayarishia polisi rushwa wakat hajakuomba,
Ha ha ha, kucha na high heels umenimaliza. Tunaomba twishen ya kutembelea
- Kuvaa mkanda wa plasitic,
- Mshati yenye picha picha,
- kuwa na nguo inayoonyesha ishara ya mti wa bangi,
- Viatu vilivyoisha sole na kwenda upande,
- Kuvaa suti yenye rangi mbili,
- Kuwa na wallet mbovu iliyochakaa,
- Kuvaa suti na sandals
- Kuvaa cheni fake,
- Kuvaa mipete zaidi ya moja kwenye mkono tena fake!
- Kuweka makalamu mengi kwenye mfuko wa suti.
- Kutembea nakitambulisho nje mazingira yako ya kazi,
- Kuvaa kamba yenye flash disk hadi kwenye ma baa
- Kuwa kwenye baa na kuanza kuwasha laptop
Mengine endelezeni
Lol, mke mwenza vaa hiyo hiyo pea moja original...Mke mwenza,kipato hakiruhusu lol!
Lol! Ngoja nidigest hizi:
Wadada:
Fake nails that looks really fake (unless u ar a model ama muigizaji)
Wigi kama la joti (limechachamaa kama steelwire)
Kuvaa viatu vireefu usivyoweza kutembelea,u end up kutembea kama unachechemea
Kuvaa nguo fupi kuliko unavyoweza kuwa comfortable na kuishia kuivuta kila saa
Kuvaa teitei na sarawili inayochora mistari (especially kama unakuwaga na bad pant day,lol)
(FF atakuja kumalizia)
Au asee ndio nimetoka bank sasahivi, tayari nimedeposit ile ten milion...lol . Hapo anaongea kwa sauti utadhani anahutubia mkutano wa hadhara.kuzungumza na simu kwa sauti kubwa mambo yako binafsi
utasikia eti 'haloo niliagiza mpike pilau,mmeshapika?' lol
kuweka mlio wa mchiriku kwenye simu yako
Lol, mke mwenza vaa hiyo hiyo pea moja original...
Afu mke mwenza vipi kuhusu kushonea weaving used? Unakuta mtu anahangaika kupaka pink lotion lakini wapi..
- Kuvaa mkanda wa plasitic,
- Mshati yenye picha picha,
- kuwa na nguo inayoonyesha ishara ya mti wa bangi,
- Viatu vilivyoisha sole na kwenda upande,
- Kuvaa suti yenye rangi mbili,
- Kuwa na wallet mbovu iliyochakaa,
- Kuvaa suti na sandals
- Kuvaa cheni fake,
- Kuvaa mipete zaidi ya moja kwenye mkono tena fake!
- Kuweka makalamu mengi kwenye mfuko wa suti.
- Kutembea nakitambulisho nje mazingira yako ya kazi,
- Kuvaa kamba yenye flash disk hadi kwenye ma baa
- Kuwa kwenye baa na kuanza kuwasha laptop
Mengine endelezeni
Lol! Ngoja nidigest hizi:
Wadada:
Fake nails that looks really fake (unless u ar a model ama muigizaji)
Wigi kama la joti (limechachamaa kama steelwire)
Kuvaa viatu vireefu usivyoweza kutembelea,u end up kutembea kama unachechemea
Kuvaa nguo fupi kuliko unavyoweza kuwa comfortable na kuishia kuivuta kila saa
Kuvaa teitei na sarawili inayochora mistari (especially kama unakuwaga na bad pant day,lol)
(FF atakuja kumalizia)
Hapo sasa, mtu anakazana kujiwekea minywele ya bandia afu anajishongondoa, watuachie wenye nywele zetu asilia bana..lol..Mi nikiyaona tu hayo mawigi nahisi yananuka jasho! Kha! Kwani mtu kama akinyoa dongo incase hajajaaliwa nywele itakuaje? Hehehe!
Hivi kubanja na kumeza kohozi ni bora zaidi eeh? Nauliza tu,lol
mhhhh!!
vyote mbaya unapokuwa kwenye public.
Nikuulize swali - ukiwa kwenye conference/meeting au kanisani/msikitini, ukibanja unatema chini au unafanyaje?