King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,779
Afu miguu inanuka
unavua viatu,soksi zina matundu lol
unavua viatu,soksi zina matundu lol
unatoa business card yenye vyeo lukuki....
ceo,phd,mjumbe wa nyumba kumi,mwenyekiti wa saccos lol
kuweka mlio wa mchiriku kwenye simu yako
Tehe, tehe, tehe. Nkimaliza kucheka ntajazia vya kwangu...lolzzz!
Kuhadithia muvi za akina Kanumba...
Kuvaa koti la suti/blazer bila kutoa label!
Kuvaa nguo ya ming'aro mchana
Kupaka eyeshadow inayong'ara mchana jua kali
Kuvaa nguo zisizonyooshwa.
Kuwa na wanawake/wanaume zaidi ya mmoja.
- Kuvaa mkanda wa plasitic,
- Mshati yenye picha picha,
- kuwa na nguo inayoonyesha ishara ya mti wa bangi,
- Viatu vilivyoisha sole na kwenda upande,
- Kuvaa suti yenye rangi mbili,
- Kuwa na wallet mbovu iliyochakaa,
- Kuvaa suti na sandals
- Kuvaa cheni fake,
- Kuvaa mipete zaidi ya moja kwenye mkono tena fake!
- Kuweka makalamu mengi kwenye mfuko wa suti.
- Kutembea nakitambulisho nje mazingira yako ya kazi,
- Kuvaa kamba yenye flash disk hadi kwenye ma baa
- Kuwa kwenye baa na kuanza kuwasha laptop
Mengine endelezeni
Kuwa na wanawake/wanaume zaidi ya mmoja.
kupenga makamasi kwa mkono
Kutema mate/makohozi ovyo barabarani
Kwa wadada kuvaa viatu vya plastick a.k.a yebo yebo, kuvaa macheni na mahereni ya wamachinga!