ila wewe siku ya kukucheza ngoma inabidi tuhamie gereza la ukonga miezi sita!
tukuchemshe na viungo hadi ukolee, msitu wa mabwe pande utamalizika, kha!
kupika hujui:smash:, kudekeza sifuri!:rant:
Dingi:
Kupenda kufanyiwa kila kitu bila kufanya ni UVIVU
Kutaka unavyotaka hata kwenye mazingira magumu ni UBINAFSI
Raha ya KUDEKA ni KUDEKEZANA, u give some u get some.
Spoiled brat sio sawa na anayedeka...
Menadeka kwel lkn huynnae mdekea,naehadome bs karaa tupuuu
We sema umekosa wa kukudekeza, tunaodeka tunajua raha yake
mambo ya mzee yusufu ama?? kwamba ukidekezwa unadekezika, ukikunwa unakunika ....Unko kudekezwa raha! hasa upate yule anaejua kukudekeza ndio ooooooo mie ananimaliza hasaa.